Engineer Mohamed
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 451
- 11
Tnde Kama Pommbe Au Kama Tende Za Uarabuni Yakhe???????????nifumbue Macho
Kwenye gongo kuna Ethanol ambayo ndo Ulabu wenyewe na kuna Methanol ambayo ni sumu japo ina test na kunukia kama ulabu.http://en.wikipedia.org/wiki/Methanol
Ili kuhalalisha Gongo ni lazima kufanya Fractional Distillation ili kuiondoa methanol na kuiacha ethanol.
Kitu kikubwa cha kuongezea kwenye mtambo wa gongo asilia ili kufanya Fractional Distillation ni Thermometer tu.
Mafisadi wanajiuliza Gongo likitolewa sumu huko mitaani na kuuzwa kila kona nani atakunywa Konyagi?
Methanol itumike kama Biofuel na Ethanol itumike kama ulabu.
Kangara inabakiza Step 1 au 2 kuwa Bia, vilevile Gongo ambayo inajulikana kama Machozi ya simba, supu ya mawe, chang'aa, moonshine au pombe ya moshi nayo inabakiza step moja tu ili iingie kwenye kundi la Vodka Konyagi na Martin.
Waganda tayari wanabadiri gongo kuwa pombe isiyokuwa na madhara.
Uharamu wa Gongo ni kile kiwango cha Methanol kilichomo na si vinginevyo. Kama kuna sababu nyingine ni za kisiasa.
Leo hii inapita kabisa muda katika bunge letu tukufu linajadili kama gongo kuhalalishwa ni sahihi au la. Mwisho wa siku kila mtu anavuta mshiko wake anaelekea nyumbani. Haya hebu tuangalie mambo ya maana yanayowalenga wananchi ambayo yalihitaji muda pale bungeni......
1. Hivi jamani last time nilipocheki nyumbani, umeme ulikuwa bado ni agenda ya nani amfunge paka kengele, watu wanaogopana kuelezana ukweli kuhusu mambo muhimu ya maendeleo ya nchi yetu.
2. Usafiri ndo kizungumkuti kabisa, hata barabara za hiyo tunayoisema miji mikubwa bado ni kichekesho. Sijataja huko kunakoliletea Taifa hili maendeleo, 'vijijini'. Ukisikia Kilo moja ya mahindi inavyopata shida kupatikana utaona huruma. Kwanza mkulima hana pembejeo, akijikamua kupata angalau zinahosika, kasheshe kuisafirisha, kuileta kwa walaji, akijikamua kuileta analanguliwa bei na wajanja wa mjini.
3.Kazi hazipatikani, kama huna mjomba, shangazi, mtoto wa baba mdogo au jamaa basi wewe kibarua ni kupiga malapa na kuchapisha CV nyingi tu.
4.Ubadhirifu wa mali za umma ndo imekuwa fasheni, kama hujatafuna mali ya umma wewe si mwanasiasa mahiri, basi almuradi ni udhia tu.
Anyway nisiendeleze lawama zaidi ila leo kuhalalisha Gongo ndo muhimu....haya tena yangu macho tu...
nini tofauti ya tende na GONGO???
Tnde Kama Pommbe Au Kama Tende Za Uarabuni Yakhe???????????nifumbue Macho
yakhe mie sio mtumiaji so sijui taste yake ikoje,tusubiri wanywaji waje kujibu.
ENYI WANYWAJI WA TENDE NA GONGO HEBU NJOONI MTUPE TOFAUTI YA TENDE NA GONGO.
Mutu Just For Ur Info:::::
Ile Suruali Ikifungwa ...ukizidiwa Wanifungua Wanchukua Ule Mmminiko Wanaurudisha Kwenye Jiko Chombo Kitakachotoka Hapo Babu Kubwa Ndio Maana Wanashauri Ukinywa Usiende Mbali Sana Na Uliponywea;;;;;
Hizi Ndio Pombe Za Kup
Na uzuri wa visiwani ni kwamba gongo(Tende) hunywewa na asusa...!naam tende huliwa na hasusa bila ya hasusa hainogi, upo hapo kibunango na engineer m
pombe haramu ya gongo lakini pombe halali ya Vodka
wazee mnaona kiswahili hicho