Tetesi: Wabunge wataka kupewa namba maalum za magari

Tetesi: Wabunge wataka kupewa namba maalum za magari

Minoti yote hyo, watammiss sana mwendazake maana aliwabeba kwenye mbeleko ya ubunge, kupita bila kupingwa!!

Pia waone aibu, gharama za maisha zimepanda lakin huwaoni wakitetea wananchi na wanachi tupo kama kondoo aendaye machinjion
 
Si waliomba wapeperushe bendera wakakubaliwa, sasa wanataka na namba zao za magari@@@@!!
 
WANAYOJADILI WABUNGE KWENYE GROUP LAO LEO KUTWA NZIMA.

Na Thadei Ole Mushi.

Wabunge wa CCM leo kwenye Group lao la kibunge wamejadili na kukusudia kupeleka hoja bungeni wapewe privilege ya magari yao kuwa na Special number...
Mpango ule wa chukua chako mapema
 
Anaandika Thadei Ole Mushi

Wabunge wa CCM leo kwenye Group lao la kibunge wamejadili na kukusudia kupeleka hoja bungeni wapewe privilege ya magari yao kuwa na Special numbe...
Hawa jamaa wapo kwenye sayari yao kabisa
 
Ndiyoo lakini serekali izifanye hizo namba kuwa fursa yakujipatia kipato kwa kuwatoza toza kila mwezi.
 
Wabunge kwenye group siku nzima wanajadili kupewa Plate number Special wanaacha kubangua bongo wanaishauri vipi Serikali kutatua tatizo la mafuta ya kula na ya Petrol nchini ambayo yamepandisha vya kutosha maisha ya wananchi.
Tukubali tu uwezo wao umeishia hapo.
 
huyo JPM mnaemuita mzalendo kama amgekua mzalendo kweli angekataa huo upotevu wa fedha zote kwa wabunge,

nae alikua ni walewale hakuna lolote

wabunge 300+ wengine hata majimbo hawana, nchi limeoza hili jamani
Wanasiasa wote ni wahuni na wapigaji tu, pale ambapo raia wamelala usingizi.
 
wapewe tu maana ni waheshimiwa! ukumbuke wanapigiwa saluti wakiwa eneo lao la kazi! hata CDF au IGP anampigia saluti mbunge akiwa eneo lake la kazi!
Salute kijeshi ni Salam tu. Halafu watumishi wanaopjigiwa salute ni wale ambao teuzi zao ni za raisi mfano mbunge ambae ni waziri... Hio huonesha tu salamu yakuheshim mamlaka ilio mteua... Mbunge wa kawaida hawezi pigiwa salute na CDF sijui IGP...
 
Anaandika Thadei Ole Mushi

Wabunge wa CCM leo kwenye Group lao la kibunge wamejadili na kukusudia kupeleka hoja bungeni wapewe privilege ya magari yao kuwa na Special number...
Hivi wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa malupulupu yao yanatofautiana kwa namna gani na wale wenye majimbo?
 
Wamejisahau....

Wawakilishi ambao wanataka kuishi tofauti na wanaowawakilisha (They are out of Touch) In short sioni faida yao, bora wasingekuwepo
 
Back
Top Bottom