Tetesi: Wabunge wataka kupewa namba maalum za magari

Tetesi: Wabunge wataka kupewa namba maalum za magari

Waafrika niwabinafsi sana ila Tanzania nivinara.
Hawajadili matozo na mfumuko wa bei wanajadili special number? Wanataka kuvusha madawa ya kulevya?
Tena wakaguliwe ipasavyo hao wasiachwe
 
Ndiyo maana huwa nakuwa wa mwisho ninaposikia wanasema wanawapambania wananchi.......
 
Waafrika niwabinafsi sana ila Tanzania nivinara.
Hawajadili matozo na mfumuko wa bei wanajadili special number? Wanataka kuvusha madawa ya kulevya?
Tena wakaguliwe ipasavyo hao wasiachwe
Wazungu wakisema hatuna akili, huwa wanakuwa na mifano hai, including hizi discussions za wabunge wetu
 
1649410397254.png
1649410507775.png
 
Ubinafsi + Ulafi (wanakwambia kula kwa urefu wa kamba)
 
... SWALI: Nchi hii kuna special number ambazo sheria za barabarani haziwahusu unless zina eskoti ya polisi? Hebu hili liwekwe vizuri maana tunakoenda ni mvurugano tu!
 
Asante sana Moderators kwa kuedit heading,hii sasa imekaa vizuri sana.
 
Dah kweli nimeamini wengi tunaishi Kama tupo motoni Kodi ni nyingi kila tukijipindua tunapigizwa ili wachache waishi Kama wapo pepon
Kwa utafiti wangu sasa hiv idadi ya vijana tunao shindia mlo mmoja ni kubwa sana mtaani, japo tunapambana lakin gharama za maisha ni kubwa balaa

mafuta ya kupikia hayashikiki, sukari juzi nilinunua 3,000 /kilo, kwenye luku nakatwa buku Kodi ya Jengo wakati nyumba si yangu
Kwa upandaji huu wa diesel&petrol muda si mrefu dona na mchele baadhi yetu tutashindww kuimudu pia.

Hata hivyo Mimi huwa siamini Kama Kuna uzalendo kila mtu anaangalia tumbo lake Kama wapinzan wangekua wazalendo wangezipigia kelel hizo posho za wabunge zipinguzwe maana huko ni kujilimbikizia malipo ila kwakua kila mtu anaangalia tumbo lake wakiingia hapo nao wanapiga kimya.
 
Dah kweli nimeamini wengi tunaishi Kama tupo motoni Kodi ni nyingi kila tukijipindua tunapigizwa ili wachache waishi Kama wapo pepon
Kwa utafiti wangu sasa hiv idadi ya vijana tunao shindia mlo mmoja ni kubwa sana mtaani, japo tunapambana lakin gharama za maisha ni kubwa balaa

mafuta ya kupikia hayashikiki, sukari juzi nilinunua 3,000 /kilo, kwenye luku nakatwa buku Kodi ya Jengo wakati nyumba si yangu
Kwa upandaji huu wa diesel&petrol muda si mrefu dona na mchele baadhi yetu tutashindww kuimudu pia.

Hata hivyo Mimi huwa siamini Kama Kuna uzalendo kila mtu anaangalia tumbo lake Kama wapinzan wangekua wazalendo wangezipigia kelel hizo posho za wabunge zipinguzwe maana huko ni kujilimbikizia malipo ila kwakua kila mtu anaangalia tumbo lake wakiingia hapo nao wanapiga kimya.
Ndio hivyo Mkuu, nchi hii ni mwendo wa chukua chako mapema.
 
Back
Top Bottom