Tetesi: Wabunge wataka kupewa namba maalum za magari

Kweli kabisa aisee naona sasa posho zimezidi hadi wamebaki kugonga meza tu kila kitu kwao sawa tu
 
Zamani wakati wa uspika wa Adam Sapi Mkwawa ilikuwa kama hivi ulivyoshauri. Siku hizi ndio maana kiongozi anajiuzuru u-DC au hata RC ili akagombee ubunge. TUJITAFAKARI KUNANI ?
Dah kweli kabisa yan imekua maslahi mbele matatizo ya wananchi nyuma yan hadi ma proffessor washashtuka kua maisha siku hizi yapo kwenye siasa na sio pengine ndio maana wote wamehamia kwenye kugonga meza
 
Ndio wanachojua hawa kenge, yaani badala ya kuhangaika kuishauri Serikali iondokane vipi na mfumuko wa bei na maisha magumu kwa wananchi wao wanawaza namba sijui saluti, yaani sijui sisi nani alituroga , kimsingi tumepigwa akikwambia mtu eti anaenda kule kwaajili ya kuwawakilisha wananchi muulize hao wananchi ni wa wapi kama sio wananchi wa nyumbani kwake na tumbo lake kubwa. Ovyo kabisa hawa , na ndio wanataka Bunge lirudishwe live ili wawaonyeshe wananchi upuuzi huu? Duh haya buana yetu wengine macho tu.
 
Yan ndugu yangu fikiria hawa kama
Kweli ni wawakilishi wa wananchi wangepitisha ile sheria kandamizi ya mifuko ya hifadhi ya jamii hasa kwa watu wa sector binafsi ambao sio pensionable eti mtu kamaliza mkataba wake aje apewe hela yake baada ya kufikisha miaka 60 kweli?? Bei za chakula zinapaa serikali ipo kimya wenyewe wanagonga meza tu?? Nchi nyingine upuuuzi huu hawavumilii
 
Mwisho watataka na papuchi na madushe ya bure.
Wao ni watu wa kawaida sana.
 
2. Trafiki hawezi kukusimamisha kama huna makosa, tafsiri ya maombi haya ni kutaka kuhalalisha kufanya makosa.
Mkuu kuna Kusimamishwa na Kukaguliwa kama una valid documentation za kukuruhusu kuendesha chombo husika
 
Hakuna haja ya kuwa na mwakilishi ambae anawaza kubadilishiwa namba za Gari Ili asisimamishwe na trafiki.
.
Ila Hawazi Jinsi Gani atatumia uwezo wake kuwakomboa wananchi wa Jimbo lake.
.
Hakuna haja ya kuwa na wabunge wa aina Hii
 
Hakuna haja ya kuwa na mwakilishi ambae anawaza kubadilishiwa namba za Gari Ili asisimamishwe na trafiki.
.
Ila Hawazi Jinsi Gani atatumia uwezo wake kuwakomboa wananchi wa Jimbo lake.
.
Hakuna haja ya kuwa na wabunge wa aina Hii
Ndio wapo!

Sasa tufanyaje?
 
Baada ya muda wataanzisha mjadala wa kuongezwa kwa posho wanazolipwa kutokana na mfumuko wa bei.
 
Usishangae na Mama naye akawakubalia kwa kumtumia speaker memo. Yaani hii nchi huko tunakokwenda sijuwi tutakuwaje.
 
Madaraka Ya Kulevya Wanadai Mpaka Vitu Vya Hovyo
Number Za Nini Maalum, Kwa Jambo Gani Hasa
 
Wapewe tu ili wavimbe vizuri mitaani

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…