Wabunge wataka Umri wa kugombea Urais uwe 35; Zitto asema umri mkubwa ni ushamba

Wabunge wataka Umri wa kugombea Urais uwe 35; Zitto asema umri mkubwa ni ushamba

Magamba kazini........haya maharamia yanavyomuogopa DR wa ukweli SLAA!......mmekula imektosha dr slaa juu sana.....sioni wa kumpima dr wa ukwelim.hakika hapimiki
 
Shibuda ndiyo chaguo la wengi Chadema kugombea urais anakubalika kanda ya ziwa yote ambao ndiyo kuna wapiga kura wengi.

Wapiga kura wengi maana yake nn?
 
baada ya msimamo wa muda mrefu wa mhe. Zitto kuutaka urais, msimamo huo umeota mabawa kufuatia pendekezo la tume kuwa mgombea awe na miaka 40 na zaidi.

Hofu kubwa ilikuwa imewajaa mashabiki wa dr slaa kutokana na msimamo huo wa kijana machachali na anae kubalika, sio tu na wanachama wengi wa chadema, bali na watanzania kwa ujumla.

Msimamo huo wa mhe. Zitto umekuwa ukimtoa jasho jembamba dr slaa kwani alijua fika kuwa yeye kwa mhe. Zitto afui dafu, kwani anajua wazi wazi mhe. Zitto ni mahiri wa kujenga hoja na kushawishi.

Kufuatia mapendekezo ya tume kuhusu umri wa kugombea urais, sasa dr slaa na mashabiki wake wamepata kupumua, kama ingekuwa vinginevyo, mhe. Zitto ndio angeshika hatamu ya kupeperusha bendera ya chadema kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Pole mhe.zitto, ila ningependa ujue tu wewe ndio ungeleta ushindani wa kweli katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa nafasi ya urais.
katiba haijapita bado.....lakini kuna haja ya kuweka umri wa juu pia.....mwisho uwe 60...vizee navyo vitatuzingua tu na fikra mgando za 47
 
Tukifuata vigezo vya hoja zito anahoja kuliko mzee slaa na anaushawishi wa ajabu kwa jamii huwezi kumlinganisha na slaa.
 
Yeyote anayempinga zito pale chadema analake jambo dpgo yoko fit kihoja hata busara na anafaa kuwa mwenyekiti wa cdm pia.
 
Miaka saba? hii nchi ina watu milioni 44+ kwanini tutafute akina museveni wa katiba katika kipindi hiki ambacho kila mmoja ni fisadi? ni miaka 4 vipindi viwili, more than enough, la ikionekana ni gharama basi ibaki hiyohiyo 5. Hili pendekezo la wabunge wa kubebwa hili sijui kwanini Warioba aliliweka, tulichomwambia kwenye mikutano ya maoni ni kufuta wabunge wa viti maalum kwa kuwa hawana tija, sas hii maana halisi ni kurudisha wabunge wa viti maalum kupitia 'dirisha dogo'. Kuhusu umri nadhani iwe miaka 40 au 45 kwani tunataka Rais aliyekomaa japo kwa macho yake kuona sana jua. Dunia ya leo ina warembo wengi hii mambo ya Rais kuwekeana 'bifu' na vijana wa chuo kisa wamenyang'anyana warembo hatutataka yatokee. 45+8=53 ni miaka inayofaa kustaafu urais na kwenda kulima.
 
Tukifuata vigezo vya hoja zito anahoja kuliko mzee slaa na anaushawishi wa ajabu kwa jamii huwezi kumlinganisha na slaa.
Unaonaje awe mgombea wa 'pekee' kwa vyama vyote kama tunaona ni 'kifaa' sana kwa watanzania; yaani Chadema ikimsimamisha Zito, then chama chenu CCM, NCCR na CUF hawatosimamisha mgombea yeyote ngazi ya urais. Peleka pendekezo Lumumba hili
 
Ritz, kwani uvccm wanamheshimu Dr. Slaa?
 
Waweke na kikomo cha umri bcoz kuna vikongwe wanakomaa kugombea.
 
Back
Top Bottom