Bwashe ule uhuru mnaousemaga wa kutoa maoni uko wapi huko?Ni jambo jema
Ulitegemea RPC akubali.Kama RPC DODOMA kasema hana hizo taarifa basi UZI UFUNGWE, Unless kama wamehojiwa mkoa mwimgine, na huyo Mtetezi TV katoa wapi hizo taarifa?
Taarifa zinapaswa kuthibitishwa na mamlaka gani?Ulitegemea RPC akubali.
Mi naona ni karibu watanzania wote hawaungi mkono kwa yanayoendelea huko ngorongoro, sasa ni kivipi wanahojiwa wabunge watatu pekee...
Wewe pamoja na washirika wako mmeshawahi kuambiwa wakimalizika wanaoitwa wapinzani mtaanza kutafuna ninyi Kwa ninyi🏋️Wafungwe tu hakuna namna
Kwani ni mara ya kwanza kukataa baadae hukubali, hata tukio la Loliondo mwanzo walikataa baadae wakakubali.Taarifa zinapaswa kuthibitishwa na mamlaka gani?
Wapo korokoroni au wamehojiwa na kuruhusiwa au wamewekewa dhamana?Kwani ni mara ya kwanza kukataa baadae hukubali, hata tukio la Loliondo mwanzo walikataa baadae wakakubali.
Jamaa aliwahi kusema , noti tu zis ekstentiBwashe ule uhuru mnaousemaga wa kutoa maoni uko wapi huko?
Yaliyomo hayamo ... Vumbi limechafukaWabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali