Wabunge Watatu wa CCM wahojiwa polisi kwa uchochezi Ngorongoro

Wabunge Watatu wa CCM wahojiwa polisi kwa uchochezi Ngorongoro

hao wameekewa PANDIKIZI hilo KITILA! kitawabeba habari zao zote! maana sendeka najua ana Ng'ombe huko
 
Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.

Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali


Washughulikiane wao kwa wao. Ila serikali ya Ccm hupenda kuishi ki mchongo mchongo sana.
Lakini ina leta raha wabunge hao hao ndio walio tunga sheria hizo mbovu wakidhani hazita wagusa.. Daaadeki.
 
Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.

Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali


Wasiishie kuhojiwa bali wawekwe ndani kama mwezi hivi ndio mahojiano yaanze.
 
Safi sana, dhalim alisema wapinzani wametuchelewesha sana sasa kijani tupu mnaanza kutafunana
 
Mi naona ni karibu watanzania wote hawaungi mkono kwa yanayoendelea huko ngorongoro, sasa ni kivipi wanahojiwa wabunge watatu pekee??

Mi naelewa, hakuna raia wala kiongozi yeyote mwenye kupenda au kuunga mkono raia au mtu mmoja afe au ateswe kwa sababu tuu ya jambo Fulani likafanyike, hakuna mwenye ujasiri wa kuona damu ya mtu ikimwagika na akasema sawa tuu na iwe hivyo

Kwa nini huwa hatupendi mazungumzo ya amani tuu pasina kumwaga damu ambao ndio uhai kwa mjibu wa Mandiko?
Watanzania wote?
Hiyo takwimu umeitoa wapi?
 
Dhalimu alikuwa anapenda damu kumwagika.
Huna uthibitisho huo na haijathibitishwa popote pale, itabaki kuwa tuhuma!

Na pointi yangu inasimama pale pale, hakuna binadamu anayeridhika kuona watu wakifa!! Vinginevyo itakuwa Ibilis yuko ndani yake akimwendesha na ibilisi akimtoka hatatamani kuishi na hatokuwa na amani hadi anakufa!

Na ndiyo maana mtu akiua, hata asipokamatwa, atakimbia tu mwenyewe, na amani ataanza kuiona pindi atakapojisalimisha police na kumrudia Mungu kwa toba!
 
Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.

Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali


Mtajuana wenyewe mchawi ukishiriki kula watoto wa wenzako siku wataliwa wakwako Asante Mungu kuwafitinisha wafitini...
 
Mi naona ni karibu watanzania wote hawaungi mkono kwa yanayoendelea huko ngorongoro, sasa ni kivipi wanahojiwa wabunge watatu pekee??

Mi naelewa, hakuna raia wala kiongozi yeyote mwenye kupenda au kuunga mkono raia au mtu mmoja afe au ateswe kwa sababu tuu ya jambo Fulani likafanyike, hakuna mwenye ujasiri wa kuona damu ya mtu ikimwagika na akasema sawa tuu na iwe hivyo

Kwa nini huwa hatupendi mazungumzo ya amani tuu pasina kumwaga damu ambao ndio uhai kwa mjibu wa Mandiko?
Mtajuana wenyewe ccm mko wenyewe kila mahali bungeni ,mahakamani , serikali za mitaa , serikali kuu mpaka vituo vya polisi sisi tuna wazoom tu.
 
Dhalimu alikuwa anapenda damu kumwagika.
Nikikwambiaga una stresa za dhalimu wako unakataa..

Ana mwaka sasa toka akuache ila hujawahi kuacha kumtaja!

Itafika hatua wake zenu wasipowapa unyumba utamsingizia dhalimu wako
 
Kwa maneno mengine wanatuhumiwa kufanya uhaini🐒
 
Back
Top Bottom