Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Fake newsCheki hii habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fake newsCheki hii habari
Proof?Fake news
Washughulikiane wao kwa wao. Ila serikali ya Ccm hupenda kuishi ki mchongo mchongo sana.Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali
Ipo humu humu imekanushwaProof?
Hahahahaha......nakumbukaJamaa aliwahi kusema , noti tu zis ekstenti
Wasiishie kuhojiwa bali wawekwe ndani kama mwezi hivi ndio mahojiano yaanze.Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali
Umenikumbusha Baraka ShamteJamaa aliwahi kusema , noti tu zis ekstenti
Angekuwepo master, king a.k.a jiwe angekujibu kwa speed ila sasa siyo yeye tena 😁!Bwashe ule uhuru mnaousemaga wa kutoa maoni uko wapi huko?
Watanzania wote?Mi naona ni karibu watanzania wote hawaungi mkono kwa yanayoendelea huko ngorongoro, sasa ni kivipi wanahojiwa wabunge watatu pekee??
Mi naelewa, hakuna raia wala kiongozi yeyote mwenye kupenda au kuunga mkono raia au mtu mmoja afe au ateswe kwa sababu tuu ya jambo Fulani likafanyike, hakuna mwenye ujasiri wa kuona damu ya mtu ikimwagika na akasema sawa tuu na iwe hivyo
Kwa nini huwa hatupendi mazungumzo ya amani tuu pasina kumwaga damu ambao ndio uhai kwa mjibu wa Mandiko?
Huna uthibitisho huo na haijathibitishwa popote pale, itabaki kuwa tuhuma!Dhalimu alikuwa anapenda damu kumwagika.
Kwa hiyo wewe unapenda watu wauliwe kwa amri yako au kwa mkono wako?Watanzania wote?
Hiyo takwimu umeitoa wapi?
Mtajuana wenyewe mchawi ukishiriki kula watoto wa wenzako siku wataliwa wakwako Asante Mungu kuwafitinisha wafitini...Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali
Mtajuana wenyewe ccm mko wenyewe kila mahali bungeni ,mahakamani , serikali za mitaa , serikali kuu mpaka vituo vya polisi sisi tuna wazoom tu.Mi naona ni karibu watanzania wote hawaungi mkono kwa yanayoendelea huko ngorongoro, sasa ni kivipi wanahojiwa wabunge watatu pekee??
Mi naelewa, hakuna raia wala kiongozi yeyote mwenye kupenda au kuunga mkono raia au mtu mmoja afe au ateswe kwa sababu tuu ya jambo Fulani likafanyike, hakuna mwenye ujasiri wa kuona damu ya mtu ikimwagika na akasema sawa tuu na iwe hivyo
Kwa nini huwa hatupendi mazungumzo ya amani tuu pasina kumwaga damu ambao ndio uhai kwa mjibu wa Mandiko?
Hayo ni mawazo yako, yasiyoendana na ulichosema.Kwa hiyo wewe unapenda watu wauliwe kwa amri yako au kwa mkono wako?
Nikikwambiaga una stresa za dhalimu wako unakataa..Dhalimu alikuwa anapenda damu kumwagika.
sawaWabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali
MburulaKama RPC DODOMA kasema hana hizo taarifa basi UZI UFUNGWE, Unless kama wamehojiwa mkoa mwimgine, na huyo Mtetezi TV katoa wapi hizo taarifa?