Wabunge Watatu wa CCM wahojiwa polisi kwa uchochezi Ngorongoro

Wabunge Watatu wa CCM wahojiwa polisi kwa uchochezi Ngorongoro

hao wabunge ni wasaliti na wahujumu wakubwa wa jitihada za serikali, wanapaswa wabanwe mbavu nyembamba.
 
Nikikwambiaga una stresa za dhalimu wako unakataa..

Ana mwaka sasa toka akuache ila hujawahi kuacha kumtaja!

Itafika hatua wake zenu wasipowapa unyumba utamsingizia dhalimu wako
Shetani anaachaje kusemwa? Shetani ameasi miaka na miaka ila mpaka leo anasemwa.
 
Wapelekwe Oman wakachapwe Viboko hadharani.

Kwanini wanapinga serikali ya mjomba??
 
Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.

Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali


Kwa asili Profesa Kitila Mkumbo ni mwanaharakati!! Mjasiri haachi asili!! Alikuwa mwanaharakati ndani ya Chadema, naona ameamua kuwa mwanaharakati pia ndani ya CCM!
 
Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.

Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali


Hawa mwakani hawarudi tena mjengoni
 
Back
Top Bottom