Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wavuliwe uanachamaWabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali
Kama bado unaamini mamlaka za hii nchi pole yako.Taarifa zinapaswa kuthibitishwa na mamlaka gani?
Ubongo wako una GB 0.02 RAM na storage ya 4GBKama bado unaamini mamlaka za hii nchi pole yako.
Shetani anaachaje kusemwa? Shetani ameasi miaka na miaka ila mpaka leo anasemwa.Nikikwambiaga una stresa za dhalimu wako unakataa..
Ana mwaka sasa toka akuache ila hujawahi kuacha kumtaja!
Itafika hatua wake zenu wasipowapa unyumba utamsingizia dhalimu wako
Kwa asili Profesa Kitila Mkumbo ni mwanaharakati!! Mjasiri haachi asili!! Alikuwa mwanaharakati ndani ya Chadema, naona ameamua kuwa mwanaharakati pia ndani ya CCM!Wabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali
Hawa mwakani hawarudi tena mjengoniWabunge 3 wa CCM akiwemo mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai, Prof Kitila Mkumbo na Christopher Olesendeka wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za Kufanya uchochezi, kupanga njama na wananchi wasitii maagizo ya Serikali Loliondo. Kamanda wa Polisi Dodoma, amesema hana taarifa hizo.
Pia soma - IGP Sirro awaagiza Wananchi wa Loliondo kutowasikiliza wanasiasa na badala yake watekeleze wanavyoelekezwa na Serikali