Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Wanabodi,
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza