Tetesi: Wabunge wawili, watahama upinzani punde

Tetesi: Wabunge wawili, watahama upinzani punde

Nelson Masaduki

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2017
Posts
346
Reaction score
380
Wanabodi,

Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.

Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?

Nelson,
Mwanza
 
Wabunge wa upinzani acheni ujuha,mbona mnajiaibisha kurubuniwa kuhamia CCM.
 
Sasa wakihama ndiyo kitatokea nini?! Huo ukubwa wao kisiasa unaupimaje kufikia uamuzi kuwaita wanasiasa wakubwa?! Sioni tija ya hilo la wao kuhama na hii tetesi hata ikiwa kweli sioni faida kwetu wananchi. Wahame kushibisha nasfi zao, sisi tushangilie au tusikitike?!
 
Yaani waachane na siasa kwaajili ya kujipanga na 2020? Sawa.
 
Kwa hiyo watakubali 2019 yote ipite kavu kavu, au kutakuwa na namna?

Naomba kama una jibu jibu kama huna kaa kimya, sio uje uniambie nikamuulize Mr Slow slow.
 
Watahama upinzani waende chama gani? Maana CCM usajili ulisha fungwa wiki chache zilizo pita
 
Back
Top Bottom