Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Time will tell you coward a.k.a kengeza fangirlTime will tell
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time will tell you coward a.k.a kengeza fangirlTime will tell
MBATIA, fullstop.Hivi Watabiri kwanini Huwa hamna majina?
Machachari kwa kufunga tai Gulf style.JUZI MMETULETEA HABARI KUWA MMEMKATAA MBUNGE MACHACHARI WA CHADEMA ALIYETAKA KUHAMIA KWENU, LEO TENA MNATULETEA HABARI WABUNGE MACHACHARI WANATAKA KUHAMIA KWENU. HIVI MNAFIKIRI SISI HATUNA KUMBUKUMBU
Hahahah kwa hiyo kwao uzi bado haujakaza ngoja bosi wao akae kwanza kule mahali akitoka anakuta mpaka lemara amehamia kwa mr slow moooWanaume ndio wengi! Wanawake wengi ni vimada wa yule jamaa mwenye kengeza
Wanabodi,
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza
Mkuu johnthebaptist na wewe hii 25% imekugusa?? Asante Mungu, hakika kila goti litapigwa awamu hii.Wakishahama ndio 25% itakuwa imerekebishwa!
Huu ubatizo wa moto hautamuacha hata mmoja, labda mwanawe bashiteMkuu johnthebaptist na wewe hii 25% imekugusa?? Asante Mungu, hakika kila goti litapigwa awamu hii.
Wanabodi,
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza
Mwanzoni ilijulikana kuwa bwana yule atawagusa watu wa upande ule pekee lakini hili la 25% kila mtu ameguswa awe CCM, CUf, Nccr, Act,Chadema n.k.Huu ubatizo wa moto hautamuacha hata mmoja, labda mwanawe bashite
Tunasubiri na mwenyekiti akitoka mahabusu ahamie CCM ili tumalize kaziWanabodi,
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza
Lililofungwa ni lile la kupewa tena ubunge kupitia CCM. Kuhamia chama chochote hakuna muda unaweza kuhamia hata wewe na utakuwa mwanachama kama Mpendazoe.Dirisha la usajili si limeisha fungwa?
Lissu akienda ccm naachana na siasa.Mkubwa ni Lisu tu.Hao wengine waendreee
Hivi kuna faida gani kwa haya majitu yakihama hama kama kumbikumbi? Nadhani tupadilishe vipengele kama mbunge akihama atafutwe wa kujaza nafasi yake kupitia chama alichokihama ili tuumalize huu ujingaWanabodi,
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza