Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nelson Masaduki siyo jina?Hivi Watabiri kwanini Huwa hamna majina?
lABDA HAWAJAELEWANA LUGHA HAWA. NDIO TATIZO LA KUCHELEWA KULALAKwa Nelson Masaduki siyo jina?
Halijafungwa na liko wazi sana ila hawataruhusiwa kugombea kwa tiketi ya CCM.Dirisha la usajili si limeisha fungwa?
Usajili wenu mnafanyia wapi sasahivi maana ni kweli mlifunga usajili. Tumtafute Msemaji wa CCM atudokeze utaratibu unakuwaje endapo kweli hili litajitokezaHalijafungwa na liko wazi sana ila hawataruhusiwa kugombea kwa tiketi ya CCM.
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄 Acha basi...!!!!😳MBATIA HAKOSEKANI HAPA AMA KUBENEA. TUNATEGA MASIKIO YETU
Nibl wewe huyu au, umeandikiwa?Wakishahama ndio 25% itakuwa imerekebishwa!
Wanabodi,
Kama ilivyo ada, ninawaletea habari mpya, ambayo ina msisimko kwa siasa za nchi kwa sasa. Jana majira ya saa 7 mchana niliipata ila imethibitishwa leo asubuhi. Wabunge wengine 2(wenye majina makubwa) wataondoka Upinzani na kujiunga na CCM ama kuacha siasa. Malengo yao ni kujipanga kwa ajili ya 2020.
Swali langu, hamahama itakwisha lini tujenge nchi?
Nelson,
Mwanza
Kama alivuofanya nyalandu kukubali 2018,2019 kupita kavukavuKwa hiyo watakubali 2019 yote ipite kavu kavu, au kutakuwa na namna?
Naomba kama una jibu jibu kama huna kaa kimya, sio uje uniambie nikamuulize Mr Slow slow.
Mbowe sio mkubwa? Alafu hapo ina maana huna imani na akina lema, msigwa, sugu, mdee, bulaya, mnyika, tatizo nn?Mkubwa ni Lisu tu.Hao wengine waendreee
Wanaume ndio wengi! Wanawake wengi ni vimada wa yule jamaa mwenye kengezaKibaya zaidi hao wabunge watakua ni WANAUME
Malipo ni hapahapa dunianiWanaume ndio wengi! Wanawake wengi ni vimada wa yule jamaa mwenye kengeza
Malipo ulitaka yawe wapi?? Huoni siku hizi kuna EFDMalipo ni hapahapa duniani
Time will tellMalipo ulitaka yawe wapi?? Huoni siku hizi kuna EFD