Wabunge wetu na mapambio kazi zilizofanyika na baadae kukimbizana na muda

Ti Go

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
985
Reaction score
1,004
Nipo natazama wachangiaji wa bunge linaloendelea. Cha kushangaza wengi wa wabunge wanatumia muda wao mwingi wakitoa sifa nyingi kwa kazi zilizofanyika. Cha kushangaza zaidi baadae wanakimbizana na muda kutoa pointi za msingi na muda hauwatoshi.

Niwambie wapiga kura watakupima kwa kile upichochangia kwenye matatizo yao na siyo sifa ulizopamba utawala
 
Wapiga kura gani boss. Sasa hivi ni maagizo tu yanatoka kuamua nani awe mbunge, au rais. Ile wananchi kwenda kwenye vituo vya kura ni bortion tu.
 
LP raise team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…