Wabunge wote wa CCM wameshindwa kutetea maslahi ya wamachinga nchi nzima. Nini maana yake?

Ulitaka nini kifanyike?, maamuzi ni ya serikali na kumbuka wamachinga wengi hawalipi kodi na wanavunja sheria za nchi.

Wametolewa walipokuwa ili wajipange upya. Ni vurugu mechi kila sehemu iliyo wazi kufanyiwa biashara.
 
Ulitaka nini kifanyike?, maamuzi ni ya serikali na kumbuka wamachinga wengi hawalipi kodi na wanavunja sheria za nchi.

Wametolewa walipokuwa ili wajipange upya. Ni vurugu mechi kila sehemu iliyo wazi kufanyiwa biashara.
Wamachinga wagonvi sana. Kila mahali wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…