Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Huyu W J Malechela ni mtoto wa nje wa John Malechela nini ?

Maana analeta hoja za ajabu ajabu. Basi tupige kura kwa kusimama nyuma mbunge au rais wakati wa uchaguzi mkuu.

- Kaka kama unataka kunijadili kuwa ni mtoto wa nje au ndani fungua thread yake, hapa haihusu nasema hivi wabunge wote wanaolilia kura za siri waondoke huko Dodoma now, kura ya kuandika katiba inapigwa kwa siri alikwambia nani na wapi uliwahi kusikia imetokea hapa Duniani?

- Wale wote wasiotaka kura za wazi ni cowards sio viongozi waondoke huko Dodoma now!!

Le Mutuz
 
- Coward that is what you are unfit to lead, ondoka kama upo huko Dodoma hufai simply hufai toka huko Dodoma waachie wanaume wanaoweza kusimama na kuhesabiwa, wewe unatetea mediocre ya kupiga kura kwa siri ili iwe nini? Utaandika katiba mpya kwa siri?

- Kaka kasome Founding Fathers wa Amerika kama walipiga kura kwa siri, infact Madison alitishia kuvunja process nzima iwapo hoja yake ya kuimarisha mahakama ingekataliwa na alismama na kusema wazi sio kwa siri, wale wote huko Dodoma ambao hamuwezi kusimama kuhesabiwa wakati muafaka sasa ondokeni huko you cowards!!

Le Mutuz

Mkuu unatishwa na wana philosophy wa Marekani? Basi tuhalalishe na ushoga sababu umetoka Marekani.
 
- Kaka wanaume wanaandika katiba mpya kwa kura za siri ulisikia wapi hiyo? Huko dodoma wameenda watu wengi wasiofaaa fukuza wote tuanze upya ibidi na waulizwe mapema wanataka kupiga kura za siri au za wazi, kura inapigwa wazi

Le Mutuz

Hujajibu wewe ulichaguliwa kwa kura za siri au wazi?tofautisha kura na kutoa maoni.Kwa maana hata za wananchi tutapiga za wazi?kura ya siri ina madhara gani ktk mchakato huu?
 
tatizo maccm yanawatishia wezao, yapo tayari hata kuuwa simply umepingana na mawazo yao...

Wananchi wengi wameamka sasa kuhusu katiba mpya. Wakati wa kampeni dhidi ya katiba kielelezo mbovu itakayotengenezwa na hili bunge la CCM tutazunguka nchi nzima tukiwataja kwa majina waliotetea mawazo mabovu na tutawashitaki kwa wananchi. It will be start of their ending. ..
 
mimi nina uhakika kura ikiwa ya siri agenda za ccm hazitafanikiwa kupenya , na hii tuisubiri j3 ndio itatoa mwelekeo halisi wa wajumbe. mimi najiuliza kitu kimoja kwamba hivi kama ccm wanajiamini na wanajua kwamba wajumbe wao wamekubali kuwa pamoja kwani hata wangetumia kura ya siri si wangefanikiwa tu kushinda ? kwahiyo jibu ninalopata ni kwamba kuna agenda ambazo viongozi ndio wanalazimisha zikubalike kwa wajumbe wao wote kitu ambacho sio rahisi sana.
 
- Katiba ya Taifa haiwezi kuandikwa kwa kura za siri wale wote wanaolilia kura za siri waondoke huko now hawafai ni cowards, waondoke now!!

Le Mutuz
Unajua maana ya kura ya siri?
bahati mbaya sana maccm yamepotosa na yamepotoka.
Tunahitaji ballot box, hakun cha siri wala wazi kama watoto.
depositphotos_6425467-Ballot-box-vote.jpg
 
Mkuu unatishwa na wana philosophy wa Marekani? Basi tuhalalishe na ushoga sababu umetoka Marekani.

- Kaka hii sio mada ya ushoga ukitaka kujadili ushoga fungua thread yake, hapa ninasema hivi Duniani hakuna katiba iliyowahi kuandikwa kwa siri, na wewe ni coward unaogopa kusimama na kuhesabiwa hufai cowards!!

Le Mutuz
 
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?

- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Big Show
Disagree with you in TOTAL
The cowards are on your side.
 
Hujajibu wewe ulichaguliwa kwa kura za siri au wazi?tofautisha kura na kutoa maoni.Kwa maana hata za wananchi tutapiga za wazi?kura ya siri ina madhara gani ktk mchakato huu?

- Kura ya kuchaguliwa Dunia nzima inapigwa kwa siri lakini sio ya kuandika katiba hakuna Duniani kaka, na wewe kumbe ni muoga muoga Taifa la macowards wananchi waoga waoga kama fisi hawafai huko Dodoma ondoa wote now!!

Le Mutuz
 
Ati Nimetishwa,, we jamaa hopeless kabisa.... hivi ulisoma civics Tanzania Kweli? Form two wanafundishwa costitution pamoja na Secreat Balot na umuhimu wake leo unaibuka kama mtoto wa darasa la saba?

Leo hii ukimfundisha mtoto wa Secondary nini umuhimu wa secret balot si atakushangaa coz leo unatetea kura ya wazi.

Ina maana hao wanawake huko bungeni ww huwatambui? Maanake unadai ati wanaume wazima wanalia huko bungeni...


Kaka inatosha keshajifunza huyu.
 
- Kaka hii sio mada ya ushoga ukitaka kujadili ushoga fungua thread yake, hapa ninasema hivi Duniani hakuna katiba iliyowahi kuandikwa kwa siri, na wewe ni coward unaogopa kusimama na kuhesabiwa hufai cowards!!

Le Mutuz
Pia unazijua nchi zisizo na katiba?nitajie.Jee wanaishi au hawaishi tena vizuri kuliko sisi.Hivyo usiseme duniani
 
Mkuu unatishwa na wana philosophy wa Marekani? Basi tuhalalishe na ushoga sababu umetoka Marekani.
Msamba sana huyu jamaa kila kitu marekani marekani wakati hata huko mashuleni tu wanatumia ballotbox, huyo kutetea ubwabwa mbona hana noma, kama kitila mkumbo vile
electionballot_color.gif
 
Mm siamini kama Wily huenenda na hali ilivyo au huenda jinsi hisia zake zinavyomtuma kufanikisha mapenzi yake hata kama hisia hizo zinakinzana na uhalisia. Kamati ndio iliyokuja na kanuni kuwa wajumbe wa bunge itakapofika kupiga kura, ipigwe kura ya siri. La kura ya siri liliibuliwa. Unapotaka kubadilisha ambacho kimeishakuwepo lazima uwe na hoja nzito. Kwa hili hamna hoja nzito. Pili yake kuna chama kimeweka msimamo wa kitakavyo. Chama chenyewe waliomo hawaaminiki tena kuwa waweza kuua mradi wayatakayo yamefuatwa, nani yu karibu kufa kisa eti msimamo wake. Wacha wazungumze kwa siri.
 
ndugu mbona unakazania waondoke, hivi kweli unaweza kuongoza na temper namna hiyo mbona utafukuza wengi wanaopingana na mawazo yako kwa kuamini tu kwamba kila unachokielewa wewe ni bora kuliko cha mwingine
 
ndugu mbona unakazania waondoke, hivi kweli unaweza kuongoza na temper namna hiyo mbona utafukuza wengi wanaopingana na mawazo yako kwa kuamini tu kwamba kila unachokielewa wewe ni bora kuliko cha mwingine

- Kaka ungekuwa Museveni ungefanya nini na ile sheria mpya? Ungeisaini kwa siri?

Le Mutuz
 
- Kura ya kuchaguliwa Dunia nzima inapigwa kwa siri lakini sio ya kuandika katiba hakuna Duniani kaka, na wewe kumbe ni muoga muoga Taifa la macowards wananchi waoga waoga kama fisi hawafai huko Dodoma ondoa wote now!!

Le Mutuz

Serikali 2 zime prove failure kwa nini mnaogopa serikali 1 au 3?upi ni uoga kati ya kupiga kura au anayeogopa mabadiliko?
 
tuwape uhuru wa kuchagua utaratibu watakaotumia wa kupiga kura vyovyote italavyokua ila lazima tupate katiba ya watanzania na sio katiba ya vyama.
 
Back
Top Bottom