Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

- Kiongozi mzima wa wananchi mwenye akili timamu kuogopa kupiga kura ya wazi? I become a coward unfit to lead kaka huwezi kuwa kiongozi wa Taifa ukaanza kulilia kura za siri hufai ondoka kwenye uongozi mara moja waachie wanaoweza kusimama wahesabiwe!! na wapo wengi tu!!

Le Mutuz

ccm ndiyo iliyotufikisha hapo!!!! ccm imeasisi siasa za vitisho na kung' oana meno na kucha bila ganzi!!!
 
Msamba sana huyu jamaa kila kitu marekani marekani wakati hata huko mashuleni tu wanatumia ballotbox, huyo kutetea ubwabwa mbona hana noma, kama kitila mkumbo vile
electionballot_color.gif

- ha! ha! Wanafiki wakubwa mlisema CUF ni mashoga halafu mkajiunga nao, halafu hamuachi maneno yenu yale yale asiye na mawazo kama yenu huwa hmakosi maneno ya matusi hoja kaputi,

- Kaka tizama mfano wa Museveni, amesaini sheria mbele ya umma na huku kuna vitisho kila kona toka kwa wazungu ungekwua wewe ingekwuaje?

Le Mutuz
 
- Kaka kama unataka kunijadili kuwa ni mtoto wa nje au ndani fungua thread yake, hapa haihusu nasema hivi wabunge wote wanaolilia kura za siri waondoke huko Dodoma now, kura ya kuandika katiba inapigwa kwa siri alikwambia nani na wapi uliwahi kusikia imetokea hapa Duniani?

- Wale wote wasiotaka kura za wazi ni cowards sio viongozi waondoke huko Dodoma now!!

Le Mutuz

Kpitie upya vyanzo vyako mkuu.
 
- Kaka hii sio mada ya ushoga ukitaka kujadili ushoga fungua thread yake, hapa ninasema hivi Duniani hakuna katiba iliyowahi kuandikwa kwa siri, na wewe ni coward unaogopa kusimama na kuhesabiwa hufai cowards!!

Le Mutuz

Kwani kinachojadiliwa si ni kupiga Kura au ni majadiliano ya katiba?... mbona unashindwa kuielewa mada uliyoanzisha mwenyewe.

Ina maana hapo bungeni hujui kilichawapeleka ni kujadili,kutathmini na kuziba mapengo ya draft ya katiba ili kutoa final draft.

Halafu matokeo ya kura ya siri huwekwa wazi.
 
ccm ndiyo iliyotufikisha hapo!!!! ccm imeasisi siasa za vitisho na kung' oana meno na kucha bila ganzi!!!

- Ndio kawaida ya cowards always wana maneno maneno mengi ya kutetea uoga wao, kaka simama uhesabiwe kama Museveni, sio kulia lia kura za siri unaogopa nini na wewe kiongozi?

Le Mutuz
 
Kwani kinachojadiliwa si ni kupiga Kura au ni majadiliano ya katiba?... mbona unashindwa kuielewa mada uliyoanzisha mwenyewe.

Ina maana hapo bungeni hujui kilichawapeleka ni kujadili,kutathmini na kuziba mapengo ya draft ya katiba ili kutoa final draft.

Halafu matokeo ya kura ya siri huwekwa wazi.

- Ninawazungumzima wabunge wote wanaolilia kura za siri huko Dodoma kuwa hawafai ni cowards, huelewi nini hapa kaka?

Le Mutuz
 
Msamba sana huyu jamaa kila kitu marekani marekani wakati hata huko mashuleni tu wanatumia ballotbox, huyo kutetea ubwabwa mbona hana noma, kama kitila mkumbo vile

Mie nashangaa sana mijitu mingine inafikiri kwa ma------.
 
Inapofikia hapa mimi huwa nawaona CCM kama sio binadamu vile...
Hivi unaweza ukashurutisha watu wafuate matakwa ya chama badala ya maoni yao binafsi kuhusu katiba mpya?

Ni juzi tu mmemfukuza uanachama Mansour Himid kisa amesema haungi mkono serikali mbili, Leo mnataka kura iwe wazi ili asiyeunga mkono hiyo sera yenu mfukuze uanachama!??

Kweli CCM mnatawala kwa nguvu, vitisho, hila na ghiliba.
 
Hivi linapokuja suala la kupiga kura, kuna haja gani ya kujua nani kachagua nini!? issue ni wengi wape. Lakini kwa sasa, CCM (na CHADEMA!?) wanataka kuwatisha wale wote wenye mpango wa kwenda kinyume na maamuzi ya chama (though yaliyoamuliwa na wateule wachache), na hapo ndipo kura ya wazi inapigiwa chapuo

Issue ya uoga ni kweli - watu wanaogopa kuwekewa kinyongo na chama; na mwisho wake wanyimwe nafasi za kugombea ubunge mwaka kesho
 
- I have no side but as a man will never cry for a secret ballot WHY? What I am scared off?

Le Mutuz
Mkuu mimi ni mwana CCM lakini katka hili CCM is fighting a losing battle.
Kugeuza watu mawazo kwa CCM ilipofikia kisiasa ni kazi inayohitaji a master and maverick politician anayeweza kuwaunganisha tena wana CCM.

CCM ina makundi, CCM haina dira, viongozi wanapigana vijembe hadharani,viongozi wengine wanapenyeza rupia kuendeleza ndoto zao za kisiasa, ilhali HAKUNA UNIFYING IDEOLOGY.
Huko zanzibar, imejitwalia madara zaidi ndani ya muungano bila idhini ya vikao mahsusi vya CCM, kama nakumbuka vizuri wana CCM walijulishwa tu yale yaliyotokea huko Zenj.


Nasema hivi kwa uchungu tu.
Inabidi tuwe wakeli ili tujue tatizo letu liko wapi.

KURA YA SIRI- itawabeba hata wale wana CCM waliochoshwa na mwenendo huu wa kisiasa, ni kama referendum ya kisiasa kwa uhai wa chama.
Mbaya zaidi kura ya siri itarudisha serikali ya Tanganyika, hilo ni wazi.

Kura ya siri ikipigwa na mjumbe haina athari ya kuchukuliwa hatua na chama, lakini ndicho atakacho kuwa nacho mtu moyoni.
Tuwe wakweli.
 
Wiliam utapigwa laana na mama yako mdogo! Hukuona naye alipounga mkono suala la kura ya siri? Naye ni coward?
 
- Kaka kama unataka kunijadili kuwa ni mtoto wa nje au ndani fungua thread yake, hapa haihusu nasema hivi wabunge wote wanaolilia kura za siri waondoke huko Dodoma now, kura ya kuandika katiba inapigwa kwa siri alikwambia nani na wapi uliwahi kusikia imetokea hapa Duniani?

- Wale wote wasiotaka kura za wazi ni cowards sio viongozi waondoke huko Dodoma now!!

Le Mutuz

Hoja zao zinanitia mashaka.

Unawajua vema wana CCM kuwa ni waoga. Wanatenda kama wamekabidhi akili kwa mwenyekiti. Kwa kura ya wazi watakuwa wanafiki tu kumridhisha mwenyekiti lakini kura ya siri itasema ukweli daima.

Tuambie kwanini unaogopa kura ya siri.
 
- Kaka ungekuwa Museveni ungefanya nini na ile sheria mpya? Ungeisaini kwa siri?

Le Mutuz
Kuna jambo lolote wewe umewahi kutofautiana na ma ccm wenzako hata kama halina maana ktk jamii?wewe ni bendera fuata upepo kubembeleza cheo.Sheria kusainiwa kuna kura pale?maana ni maamuzi ya rais pekee kwa mamlaka aliyopewa baada ya kupita sehemu mbalimbali na hata museveni alikua ana refer research zilizofanyika juu ya ushoga
 
Inapofikia hapa mimi huwa nawaona CCM kama sio binadamu vile...
Hivi unaweza ukashurutisha watu wafuate matakwa ya chama badala ya maoni yao binafsi kuhusu katiba mpya?

Ni juzi tu mmemfukuza uanachama Mansour Himid kisa amesema haungi mkono serikali mbili, Leo mnataka kura iwe wazi ili asiyeunga mkono hiyo sera yenu mfukuze uanachama!??

Kweli CCM mnatawala kwa nguvu, vitisho, hila na ghiliba.

- Kaka ungeanza na Zitto na Kitila kufukuzwa chama na Migamba kupigwa ngumi hivi ilikuwa ni kwa sababuy ya nini kaka?

Le Mutuz
 
Hivi linapokuja suala la kupiga kura, kuna haja gani ya kujua nani kachagua nini!? issue ni wengi wape. Lakini kwa sasa, CCM (na CHADEMA!?) wanataka kuwatisha wale wote wenye mpango wa kwenda kinyume na maamuzi ya chama (though yaliyoamuliwa na wateule wachache), na hapo ndipo kura ya wazi inapigiwa chapuo

Issue ya uoga ni kweli - watu wanaogopa kuwekewa kinyongo na chama; na mwisho wake wanyimwe nafasi za kugombea ubunge mwaka kesho

- Hatuwezi kuwakilishwa na viongozi waoga ndio maana nasema waondoke huko now!!

Le Mutuz
 
Mimi sasa nimebadilisha msimamo. .. seriously. Nataka kura ya wazi. Tutakuwa tunatiki hapa, nani anawakilisha wananchi na nani anawakilisha chama. ..

Sikuzooote mwoga uchekwa na wengi lakini shujaa hufa kifo cha aibuu. Tafakari. Tanzania tuliyonayo si ya kujivika ushujaa huu wa kujinga kura ya siri mpango mzimaa.
 
Back
Top Bottom