Wacha niwafundishe dawa bora kabisa ya nguvu za kiume (Dawa namba moja ya nguvu za kiume)

Ukiona wewe Mwanaume unamkaza Mwanamke halafu bao likiwa linatoka huonyeshi sura km unataka kulia fulani na kutoa sauti ya juu ya kugumia bao linavyotoka hivi basi Wewe jua afya yako kimeo ukapimwe afya yako
Ukila korosho, tende na karanga mbichi kwa wingi, maji mengi na ukafanya mazoezi ya hapa na pale ya misuli ya chini huwezi kutoa mlio kizembe.. ukiona unatoa mlio hovyo elewa kwamba ni kiwanda hakina maligafi za kutosha hivyo unajikangua hadi kutu
 
Ukila korosho, tende na karanga mbichi kwa wingi, maji mengi na ukafanya mazoezi ya hapa na pale ya misuli ya chini huwezi kutoa mlio kizembe.. ukiona unatoa mlio hovyo elewa kwamba ni kiwanda hakina maligafi za kutosha hivyo unajikangua hadi kutu
Umedanganywa sana onana na Daktari alie karibu yako
 
Ukila korosho, tende na karanga mbichi kwa wingi, maji mengi na ukafanya mazoezi ya hapa na pale ya misuli ya chini huwezi kutoa mlio kizembe.. ukiona unatoa mlio hovyo elewa kwamba ni kiwanda hakina maligafi za kutosha hivyo unajikangua hadi kutu
Umedanganywa sana
Ukila korosho, tende na karanga mbichi kwa wingi, maji mengi na ukafanya mazoezi ya hapa na pale ya misuli ya chini huwezi kutoa mlio kizembe.. ukiona unatoa mlio hovyo elewa kwamba ni kiwanda hakina maligafi za kutosha hivyo unajikangua hadi kutu
Hayo yote ya nini maana yake wewe afya yako mgogoro bila kula hayo madude unatoa upepo au hutoi kitu
 
Mkuu afya yangu, unaweza kutuma wa demo ili alete mrejesho
Ili uweze hili inabidi uwe na uwezo mkubwa wa kudhibiti na kumiliki hisia zako.
Ila wanawake huwa wanapata tabu maana hawaelewi na wanabaki dilemma na kuwa curious
Ushawahi kupiga chafya huku unakula karanga au ushawahi kuzuia chafya? Nini kilitokea?
 
Uisahauu kuvuta bangi wakati WA usiku changanya na pipilimanga inarefusha na kuongeza nguvu zakiume
Anzasada
 
Uisahauu kuvuta bangi wakati WA usiku changanya na pipilimanga inarefusha na kuongeza nguvu zakiume
Anzasada
Bangi ipi iliyokomaa, teketeke, mbichi, kavu, iliyovundikwa au ipi mizizi au majani au mbegu? Punguzeni kudanganyana mwingine anasema mizizi ya tulatula au ndulele inaongeza nguvu za kiume
 
Mh kazi watu watafanya saa ngapi, pia inamaana wanajeshi Hawana tatizo la nguvu za kiume? Vipi kukimbia?
 
Mh kazi watu watafanya saa ngapi, pia inamaana wanajeshi Hawana tatizo la nguvu za kiume? Vipi kukimbia?
Wanajeshi halisi hawana, labda wale MAKADA WA CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…