Umesahau....wa vijijini.Maisha tuliokulia sisi vijana wa zaman ilikua ni burudani sana kwa kweli[emoji1]
Wewe RRONDO ulikuwa hujichanganyi eeh ??? Hujawahi hata kwenda kwa bibi ???Umesahau....wa vijijini.
Nimeenda sana kwa bibi sijawahi kuona hio kituWewe RRONDO ulikuwa hujichanganyi eeh ??? Hujawahi hata kwenda kwa bibi ???
Hahahahahaha,Nimeenda sana kwa bibi sijawahi kuona hio kitu
Ah wapi, bibi mkulima,babu mkulima.Hahahahahaha,
Basi bibi yako alikuwa siyo mkulima na anaka mjini.
Hahahaha, utashindwaje kuvijua viazi vya kuchoma ???Ah wapi, bibi mkulima,babu mkulima.
Viazi navijua bana....Hahahaha, utashindwaje kuvijua viazi vya kuchoma ???
Si umesema mnaojua hamzidi kumi. Viazi nimeviona mfukoni kwa huyo dogo hapo!lkn kinachofanyika hapo hukijui.. daaaahh
Baba hapo tumeenda kuchunga ng'ombeYani ukitoa mimi.....bs hamzidi kumi humu ndani mnaoelewa whats' going on there......na kupitia maisha hayoView attachment 785857
Daaaaah yani ww ni mwenzangu kabisa yn.......yn tukienda pori lazma tupitie matuta mawili matatu kutia baraka kidogo.....Baba hapo tumeenda kuchunga ng'ombe
Mauji kama hayo ni lazima tena tulikua tunatumia mavi ya ng'ombe kuchomea
Ikibidi tunamtafuta ng'ombe anaetoa maziwa tunamkamua maziwa tunakunywa na viazi[emoji41]
Ni nini?Noma sana iyo