#COVID19 Wachaga acheni kusafirisha maiti kwenda Kilimanjaro, mnachochea maambukizi ya Corona

Wachukue taadhari gani?
 
Acha undezi, korona haiwezi kutuua Wachagga wote, wala isiwe kichocheo cha kuharibu mila na tamaduni zetu
Bujibuji kumbe wwe ni Shemeji yangu, ndiyo maana uko kwa Bwana yule wa Ugaidini!! Hahahaha!!
 
Covid inawaandama Sana wachaga huo ndo ukweli, huku niliko kwa sasa wachaga wanadondoka mno, hadi huruma Yani, yaweza kuwa ulaji wao ama utafutaji huongeza stress ktk akili hivyo kufanya mwili uwe katika hatari ya kupata kisukari ama shinikizo la damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…