Wachaga acheni pombe

Wachaga acheni pombe

[emoji23][emoji23][emoji23] ukweli mchungu waupokee kuna mchaga hapa kalewa na k vant jua kali kama ili amekunywa chupa yote peke yake
Kuna mmoja niliwahi kusafiri nae Moshi-Dar yaani wakati abiria wenzake wanajipoza na maji, juice, soda na take away zingine yeye alikuwa na konyagi kubwa anakunywa taratiibu jicho safari nzima jicho limeiva kama nyanya
 
Back
Top Bottom