Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mwanakulitafuta mwana kulipata
Wengine wanalewa hadi jukwaani hovyo sana
Acha unaa, kama hunywi utajua mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23] ni watu wa ovyo sana aahhaahah hawa wachaga
Wanakuja kutukana bodaboda wala ugali k'vant na makonyagi mbaya sana[emoji23][emoji23][emoji23] ni watu wa ovyo sana aahhaahah hawa wachaga
Shauri yako[emoji23][emoji23][emoji23] ukweli mchungu waupokee kuna mchaga hapa kalewa na k vant jua kali kama ili amekunywa chupa yote peke yake
mbona mwatuandama mambo mengine yapo kisiasaWengine wanalewa hadi jukwaani hovyo sana
Mwanaume unamfuatliaje mwanaume mwenzio
Hizo ni mentality za kishoga nina wasiwasi na mleta hoja
Wanakuja kutukana bodaboda wala ugali k'vant na makonyagi mbaya sana
Kuna mmoja niliwahi kusafiri nae Moshi-Dar yaani wakati abiria wenzake wanajipoza na maji, juice, soda na take away zingine yeye alikuwa na konyagi kubwa anakunywa taratiibu jicho safari nzima jicho limeiva kama nyanya[emoji23][emoji23][emoji23] ukweli mchungu waupokee kuna mchaga hapa kalewa na k vant jua kali kama ili amekunywa chupa yote peke yake
Mleta mada kama unajiamini nakusubiri hapa sinza kijiweni🤬[emoji23][emoji23][emoji23] ni watu wa ovyo sana aahhaahah hawa wachaga