Wachaga acheni pombe

Mm mpak na maliza chuo kikuu sikuwai na niliweka nadhiri sito kunywa pombe πŸ€“ 🀠 na laiti kama mambo yange enda kama nilivyo yapanga Mimi nusinge kuja onja pombe ila kuingia mtaan nika Kuta it's vise versa Nika Anza jifunza kunywa Ili niupate usingizi....
 
Mpumbavu kabisa hili jamaa. Hawa ndio wale wanaologwa na kuanza kuokota makopo. Anafatilia sana ya wachaga

Ahahah niloge na uchawi wa kibosho [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naenda toroka uje mitaa ya moroco kupata ugali mbuzi choma. Narudi sinza kijiweni nitakuwep mpaka saa mbili usiku kama unajiamini uje utanikuta ninakusubiri. .

Lefa atakuwa nani? [emoji23][emoji23]
 
Sijawai kua mlev mm sio mlevi ni nnywaji tena very calculatedπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€ πŸ€ πŸ€ β˜ΊοΈβ˜ΊοΈπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ·πŸ·πŸ·πŸ·πŸ₯΄πŸ₯΄
 

[emoji23][emoji23][emoji23] haya wachaga hawawezi kuacha njia yao hata ukimbie vipi [emoji23][emoji23]
 

[emoji23][emoji23][emoji23] sawa kaka
 
It's a science [emoji3457][emoji3457] maana mpk ukoo mzima hujui kua unakunywaga sometimes [emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] ila watakuja kujua tu weww jichanganye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…