Wachaga acheni pombe

[mention]Gily [/mention] mtan wanguu upitie hapa ule chakula cha nyumban
 
Huyu dogo analeta dharau anaweza asiamke kesho.
Achunge sana naweza nen na wazee akamwagika kama uji barabarani. Nimeshamuonya[emoji2959]

Leo nimekugusa pabaya sana [emoji23][emoji23][emoji23]samahani ila juzi ulinichokoza mpka nikazima data
 
Kuna mmoja niliwahi kusafiri nae Moshi-Dar yaani wakati abiria wenzake wanajipoza na maji, juice, soda na take away zingine yeye alikuwa na konyagi kubwa anakunywa taratiibu jicho safari nzima jicho limeiva kama nyanya
Mbona unanisema kwa watu[emoji23][emoji23] tunza siri wewe kijana

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…