Gharama ya kutunza BK ni kubwa kuliko hiyo 4m, wewe kama unauwezo wa kulipa 4m lipa tu ila kama huna uwezo tafadhali usiende kukopa wachagga ni waelewa sana ongea nao watakupa discount. Pia kama umejiandaa kuchakarika basi baada ya kuoa nakupa miaka miwili mambo yako yatakuwa supa ila uwe umejiandaa siyo usubiri yeye aje kukutafutia. Inaelekea soko la mabinti wa kichagga ni kubwa sana kwa sasa, ila nashauri makabili mengine wajitahidi kupeleka watoto wa kike mashuleni na kuhakikisha wanafauli vizuri, wasichana wa kichagga wanafanya vizuri sana mashuleni ndio maana soko lao linazidi kuwa kubwa.
mmmh.....kumekucha....wachagga again......
na kwambia sijui wamewakosea ninimmmh.....kumekucha....wachagga again......
Lizzy usikwazike my dear!SIO HAPA jf tu ila popote wachaga wachaga, hushangani hata wahindi wanajua salam za kichaga?wachaga mumeenea kote tz kwa hiyo nirahisi mtu kuwasemea.Mimi baba Mngoni mama mchaga nani atatoa comment ya wangoni?waarabu kila saa wanataja WAMAREKENI WAMAREKANIIIII, wabongo wachagaa wachaggaaaKunakuaga na kulala basi linapokuja swala la waChagga!!Yani ni asubuhi..mchana na usiku hawalali bado wanaongea tu!!!
Lizzy usikwazike my dear!SIO HAPA jf tu ila popote wachaga wachaga, hushangani hata wahindi wanajua salam za kichaga?wachaga mumeenea kote tz kwa hiyo nirahisi mtu kuwasemea.Mimi baba Mngoni mama mchaga nani atatoa comment ya wangoni?waarabu kila saa wanataja WAMAREKENI WAMAREKANIIIII, wabongo wachagaa wachaggaaa
WACHAGGA WANAMAHARI SIMPO KULIKO KAWA, mkungu wa ndizi,maziwa+mbege ndoo mmoja+kanga na mablanketi jamani huko kanda ya ziwa kuna mahari mpaka utakomaa kuoa.
achana naye piga lapa mbele wewe milioni nne zote ukalipe .. au kitu hakijaguswa nini?
Sijui tuwasidie kufungua more threads wafurahi????Wachagga tena..........
Mwingine akafungue sredi nyingine kule...hii inakaribia kuisha.