Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 798
- 541
Nimepata TOTO la kichaga na amenihakikishia kuwa yeye yale mambo ya kikubwa hajapitia meanz ni BK, mila za kichaga ni kwamba lazima upigwe cha juu kama mtoto wao ni BK, hesabu za fasta fasta natakiwa kulipa kama million 4 na ushee. Je wapendwa ninunue corola au nikawape wachaga waendeleze biashara ya kitimoto? Ushauri plz. Ila mamaa roho yangu imemdondokea na ningependa tuunganishe vikojoleo...!?