Wachaga endekezeni speed barabarani, mtakwisha!

Wachaga endekezeni speed barabarani, mtakwisha!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ndugu zangu wachaga nawaandikieni kwa uchungu mkubwa. Mkiendekeza speed barabarani mjiandae na matokeo yake. Wiki mbili tumezika vijana yapata 8 kwa ajali. Yawafaa nini?

2998936_FB_IMG_1636823703919.jpg
 

Attachments

  • IMG-20230803-WA0014.jpg
    IMG-20230803-WA0014.jpg
    108.3 KB · Views: 1
Kama Hawa boda boda wao wanavurugu Sana mwendo mkali ,misauti ya piki piki mikubwa .

Leo mida ya saa mbili hapa mwanama nimepigwa na side mirror ya gari ,jamaa na kiaist chake kimenifata kabisa upande wa watembea kwa miguu alikuwa speed ,bahati nzuri side mirror Yake mbovu imenigusa kidogo tu imejikunja lkn mauvi yake kama nimepigwa Kofi zito
 
Kama Hawa boda boda wao wanavurugu Sana mwendo mkali ,misauti ya piki piki mikubwa .

Leo mida ya saa mbili hapa mwanama nimepigwa na side mirror ya gari ,jamaa na kiaist chake kimenifata kabisa upande wa watembea kwa miguu alikuwa speed ,bahati nzuri side mirror Yake mbovu imenigusa kidogo tu imejikunja lkn mauvi yake kama nimepigwa Kofi zito
Uwe unatembea direction opposite na magari yanapokwenda utakuja ufe kizembe kaka.
 
Ndugu zangu wachaga nawaandikieni kwa uchungu mkubwa. Mkiendekeza speed barabaran mjjandae na matokeo yake. Wiki mbili tumezika vijana yalata 8 kwa ajali. Yawafaa nn?

View attachment 2041879
Yatosha uwe ujumbe kwa wote wanaotumia vyombo vya moto kuelekea mwishoni mwa mwaka ajali huwa nyingi sana.Familia,ndg,taifa wa/linakutegemea ukoa maisha yako na ya mwingine pia.
 
Back
Top Bottom