Wachaga kwenda Moshi December ni ishara ya upendo na mshikamano

Wachaga kwenda Moshi December ni ishara ya upendo na mshikamano

whiteskunk

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
3,904
Reaction score
9,342
Ukitaka kujua Moshi kuna watu njoo mwezi huu, mitaa inameremeta kama maua.

Huu utamaduni unaashiria wachaga ni kabila lenye upendo na mshikamano, na pesa ipo pia.

Kipindi nasoma same boys watu wa kanda ya ziwa walikuwa hawaendi makwao likizo wanajibana kwa watu, kuja kuchunguza ndo nikaambiwa kumbe familia nyingi huko hawapendani na pia makazi ni taabu.

Ngoja tuendelee kupambana na pilau, mbegge na kitimoto.
 

Attachments

116499633-favorite-drink-impressed-bearded-funny-man-admitting-a-big-glass-of-delicious-beer-a...jpg
 
Na harufu ya ushirikina pia ipo.

Wanaenda kutambika
Ulishwahi kwenda na ukaona HATA tukio Moja la ushirikina na ukalihakiki bila shaka yoyote au watu kukaa Pamoja na kula Pamoja mwisho WA mwaka Huku tukifurahi mafanikio yetu na kuanishha changamoto tunazokutana Nazo huko porini wakati wa kutafuta! Huku tukipanga Namna kuinuana wewé unasema ni ushirikina.

Hiki ni kipindi Cha kuona tumefanya Nini ikiwemo kuboresha makazi yetu wewé unasema ushirikina!

Tunaenda kuzoa baraka kwa kukaa na wazee wetu ndugu jamaa na marfiki HATA wale walioko mikoa na nchi tofauti we unasema ushirikina!

Wahega wanasema mkataa kwao ni mtumwa . Hatuwezi kuwa watumwa!

Koma kabisa kuita Mila na tamaduni z watu ushirikina!
 
Mbuzi tu, kumchinja mahali pale pale tu, kuchinjwa na wazee wale wale tu, aina ya uchinjaji kumziba pumzi Mbuzi, tarehe ile ile tu...., unataka kujua maana yake, basi waambie wanunue nyama ya Mbuzi buchani.... akili MUKICHWA>
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Porojo, mbona nyie msichinje hata bata kama ndio siri ya kutoboa?
 
Ni kweli wacha linaweza kua kabila kubwa la watu wanao rudi toka mikoa mabali mabli Dec kwenda kwao...ila pia makabila mengine pia wanarudi kwao. ukitaka kuamini angalia usafiri wa mikoani kwa sasa...kila basi linajaa...huyo abood bus service safairi za moro kila baada ya dk 10 basi linatoak magufuli stand linaenda moro.. makabila mengine wanafanya hivo hivo...mfano kabila dogo kabisa wabena na wahehe..Dec wanarudi kwao..kwa wingi tu, air Tz sasa wameongeza trip za mwanza,Tabora na kigoma.

Ninacho kiona mm kwanini wachaga wanonekana ndio wengi...au wanasikika sana.
1-wachaga wengi wanapenda show off so wanasikika kwa haraka kiasi hata wapare,wameru, wote wanamezwa na kuonekana kama wote ni wachaga.uliza mtu aliepo Arusha au mwanza..ni fujo utadhani kuna world cup.
2-Mkoa wa kilimanjaro ni mdogo kwa eneo..so wengi utawakuta himo na moshi mjini tofauti na mkoa kama pwani,mbeya Iringa,Moro au Njombe ambayo kutoka makao makuu ya mkoa mpaka baadhi ya wilaya ni ziidi ya km mia so pupulation in imesambaa sana.
3-Pia wachaga kifedha wapo vema.so easily kuwa noticeable .

Mimi nipo zangu Njombe wilaya ya lupembe kijiji cha iwafi km 160 toka Njombe mjini..tatizo huku walevi sio wengi.

Bye.
 
Tuna tamaduni zetu za kwenda kwetu pia ni watu tunaishi pamoja hata mijini tunapanga nyumba kubwa tuko kibao kwa ambao hawjajenga .

Kingine kurudi makwetu zaidi ya mara tatu kwa mwaka out of emergency call kama misiba ,harusi ni kawaida sana ...Tunapendana sana pamoja na wengi wetu wameoa huko huko kiasi cha kuongea kikabila hata tulipopanga japo mi sijui kikabila..kwetu ni sehemu nzuri kwa utalii na hali ya hewa sio sisi tu hata watu baki wanapapenda .

Hatunaga unafiki wala nn coz sisi wengi ni waislamu so December sio kitu kwetu wanaenda madogo kusalimia kwa bibi zao so mda wa wanafunzi kwenda kusalimia si wakubwa December sio kitu tunaenda mwezi wa 7 mwaka wa fedha wa serikali.

Hatupendi kujicompare coz tamaduni zetu zinafanana now waarabu so Kaa pembeni..kuaona shangazi kwa mjomba ni kawaida sana vyovyote kikubwa kulika nasaba yetu ...

1671812840857.jpg
 
Ni kweli wacha linaweza kua kabila kubwa la watu wanao rudi toka mikoa mabali mabli Dec kwenda kwao...ila pia makabila mengine pia wanarudi kwao. ukitaka kuamini angalia usafiri wa mikoani kwa sasa...kila basi linajaa...huyo abood bus service safairi za moro kila baada ya dk 10 basi linatoak magufuli stand linaenda moro.. makabila mengine wanafanya hivo hivo...mfano kabila dogo kabisa wabena na wahehe..Dec wanarudi kwao..kwa wingi tu, air Tz sasa wameongeza trip za mwanza,Tabora na kigoma.

Ninacho kiona mm kwanini wachaga wanonekana ndio wengi...au wanasikika sana.
1-wachaga wengi wanapenda show off so wanasikika kwa haraka kiasi hata wapare,wameru, wote wanamezwa na kuonekana kama wote ni wachaga.uliza mtu aliepo Arusha au mwanza..ni fujo utadhani kuna world cup.
2-Mkoa wa kilimanjaro ni mdogo kwa eneo..so wengi utawakuta himo na moshi mjini tofauti na mkoa kama pwani,mbeya Iringa,Moro au Njombe ambayo kutoka makao makuu ya mkoa mpaka baadhi ya wilaya ni ziidi ya km mia so pupulation in imesambaa sana.
3-Pia wachaga kifedha wapo vema.so easily kuwa noticeable .

Mimi nipo zangu Njombe wilaya ya lupembe kijiji cha iwafi km 160 toka Njombe mjini..tatizo huku walevi sio wengi.

Bye.
Mtazamo wako sio mmbaya, Suala la uchumi nalo ni kipengele muhimu sana katika safari...
Kingine ni ule utamaduni wa kujenga nyumbani...Kukimbia kelele za mjini mwisho wa mwaka ukakae wewe na familia yako sehemu tulivu nalo ni jambo la kujiandaa kifedha...
 
Back
Top Bottom