Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ww ni nani sasa?Tuna tamaduni zetu za kwenda kwetu pia ni watu tunaishi pamoja hata mijini tunapanga nyumba kubwa tuko kibao kwa ambao hawjajenga .
Kingine kurudi makwetu zaidi ya mara tatu kwa mwaka out of emergency call kama misiba ,harusi ni kawaida sana ...Tunapendana sana pamoja na wengi wetu wameoa huko huko kiasi cha kuongea kikabila hata tulipopanga japo mi sijui kikabila..kwetu ni sehemu nzuri kwa utalii na hali ya hewa sio sisi tu hata watu baki wanapapenda .
Hatunaga unafiki wala nn coz sisi wengi ni waislamu so December sio kitu kwetu wanaenda madogo kusalimia kwa bibi zao so mda wa wanafunzi kwenda kusalimia si wakubwa December sio kitu tunaenda mwezi wa 7 mwaka wa fedha wa serikali.
Hatupendi kujicompare coz tamaduni zetu zinafanana now waarabu so Kaa pembeni..kuaona shangazi kwa mjomba ni kawaida sana vyovyote kikubwa kulika nasaba yetu ...
View attachment 2458669
ww ni nani sasa?
Mbona kama umegadhibika
Washirikina ni nyie mnaoogopa kwenda makwenu kwa hofu ya kuloganaNa harufu ya ushirikina pia ipo.
Wanaenda kutambika
Majungu ya vijitu visivyo maakazi vinavyoogopa kwenda makwaoHili nasikia ndio linabeba ukweli wote wa huo utamaduni wao...
Wachawi ni nyie mnaoogopa kwenda makwenuNi wachawi sana hao watu
Watu msiojenga makwenu hamuishiwi majunguMatambiko fm studio iko live
Unasumbuliwa na umaskiniNi ushamba
KweliUlishwahi kwenda na ukaona HATA tukio Moja la ushirikina na ukalihakiki bila shaka yoyote au watu kukaa Pamoja na kula Pamoja mwisho WA mwaka Huku tukifurahi mafanikio yetu na kuanishha changamoto tunazokutana Nazo huko porini wakati wa kutafuta! Huku tukipanga Namna kuinuana wewé unasema ni ushirikina.
Hiki ni kipindi Cha kuona tumefanya Nini ikiwemo kuboresha makazi yetu wewé unasema ushirikina!
Tunaenda kuzoa baraka kwa kukaa na wazee wetu ndugu jamaa na marfiki HATA wale walioko mikoa na nchi tofauti we unasema ushirikina!
Wahega wanasema mkataa kwao ni mtumwa . Hatuwezi kuwa watumwa!
Koma kabisa kuita Mila na tamaduni z watu ushirikina!
Haha sio wachawiNi wachawi sana hao watu
Hapo ni kigoma?Tuna tamaduni zetu za kwenda kwetu pia ni watu tunaishi pamoja hata mijini tunapanga nyumba kubwa tuko kibao kwa ambao hawjajenga .
Kingine kurudi makwetu zaidi ya mara tatu kwa mwaka out of emergency call kama misiba ,harusi ni kawaida sana ...Tunapendana sana pamoja na wengi wetu wameoa huko huko kiasi cha kuongea kikabila hata tulipopanga japo mi sijui kikabila..kwetu ni sehemu nzuri kwa utalii na hali ya hewa sio sisi tu hata watu baki wanapapenda .
Hatunaga unafiki wala nn coz sisi wengi ni waislamu so December sio kitu kwetu wanaenda madogo kusalimia kwa bibi zao so mda wa wanafunzi kwenda kusalimia si wakubwa December sio kitu tunaenda mwezi wa 7 mwaka wa fedha wa serikali.
Hatupendi kujicompare coz tamaduni zetu zinafanana now waarabu so Kaa pembeni..kuaona shangazi kwa mjomba ni kawaida sana vyovyote kikubwa kulika nasaba yetu ...
View attachment 2458669
Aisee upate yenye msesewe wa kutosha!!!Hii kitu hii
View attachment 2461174
Inaonekana mtaa wa wanaojiwezaKama uswis kumbe kijijinView attachment 2461172
Ukitaka kujua Moshi kuna watu njoo mwezi huu, mitaa inameremeta kama maua.
Huu utamaduni unaashiria wachaga ni kabila lenye upendo na mshikamano, na pesa ipo pia.
Kipindi nasoma same boys watu wa kanda ya ziwa walikuwa hawaendi makwao likizo wanajibana kwa watu, kuja kuchunguza ndo nikaambiwa kumbe familia nyingi huko hawapendani na pia makazi ni taabu.
Ngoja tuendelee kupambana na pilau, mbegge na kitimoto.
Na harufu ya ushirikina pia ipo.
Wanaenda kutambika
Huwa wanaenda na kupokea baraka za wazazi ndugu
Ulishwahi kwenda na ukaona HATA tukio Moja la ushirikina na ukalihakiki bila shaka yoyote au watu kukaa Pamoja na kula Pamoja mwisho WA mwaka Huku tukifurahi mafanikio yetu na kuanishha changamoto tunazokutana Nazo huko porini wakati wa kutafuta! Huku tukipanga Namna kuinuana wewé unasema ni ushirikina.
Hiki ni kipindi Cha kuona tumefanya Nini ikiwemo kuboresha makazi yetu wewé unasema ushirikina!
Tunaenda kuzoa baraka kwa kukaa na wazee wetu ndugu jamaa na marfiki HATA wale walioko mikoa na nchi tofauti we unasema ushirikina!
Wahega wanasema mkataa kwao ni mtumwa . Hatuwezi kuwa watumwa!
Koma kabisa kuita Mila na tamaduni z watu ushirikina!