Wachaga ndio kabila pekee ambalo haliwezi kuua sababu ya pesa

Wachaga ndio kabila pekee ambalo haliwezi kuua sababu ya pesa

Heheheheheh jamaa kawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Kuna kisa kimoja ivi, jamaa kaenda kutoa hela benki ili kesho yake anunue gari kamshirikisha rafiki yake mchaga. Hehehe usiku alichezea mapanga na wakaondoka na hela. Wakamjeruhi mke wake baadae hayo majeraha yalimuua.

Wachaga na pesa chanda na pete
 
Back
Top Bottom