Wachaga: Nini maana ya neno hili

Wachaga: Nini maana ya neno hili

Nimeishi na wazigua muda mrefu sana, kamaanisha huko aliko kapata bwana mwingine, ndio kusema umekatwa tayari.

Acha ujinga basi, kwa vile ww umezoea kugongewa unahis ndo kila mtu?
 
Duh, kazi kweli kweli. Mpare anawaita Wachaga watu WA machakani. Na uchagani kule Kuna ethnic language tofauti tofauti.
 
Hakuna moja linaloitwa wachagga. Mkoa wa kilimanjaro na sehemu za arusha kuana vikabila zaidi ya 12 kila mmoja anaongea kivyake. Hivyo hilo neno sii wote watakaolielewa. 1. Wa uru 2. warombo 3. wa old moshi 4. wanarumu. 5 . wamachame 6. wasiha. 7.wamarangu 8. wakibosho 9. wameru .......n.k
 
Mkuu demu wako anatumia haya masmartphone? Isijekuwa matatizo ya kutype tuu teh.
 
Usiogope mkuu, japo si lugha yake Mchaga lakini maana yake ni; "Labda weye" au "Weye pia". Sasa itategemea mlivyokuwa mna chati alikujibu hivyo.
 
Usiogope mkuu, japo si lugha yake Mchaga lakini maana yake ni; "Labda weye" au "Weye pia". Sasa itategemea mlivyokuwa mna chati alikujibu hivyo.

U Ar Absolutely A Great Thinker Indeed. Uko Sahihi Kabisa Mkuu Maana Nilimwambia Za Asubuhi Ndo Akanijibu Hivyo Baada Ya Hapo Sim Ikawa Haipatkan..
 
Marco Polo kwa hiyo siku zote unajua una demu mchaga, kumbe ni msindavihi.
 
Last edited by a moderator:
Touch screen hiyo imemkosesha pengine alikusudia kusudia "huna nguvu?
 
Nina mpenzi wangu hatuko kwenye maelewano mazuri kwa sasa ila Leo kanitumia neno hili ™Hanginywe™.

Nataka nijue maana yake nini ili kama ni tusi nijue.


Ni kweli ni lugha ya Kizigua.

HANGI = sijui
NYWE au NYUWE = Ninyi au nyie (plural ya wewe)

HANGI NYUWE = sijui ninyi (nyie)

Kama katika salamu ya
"Hamjambo? Hatujambo, Sijui Nyie."
 
Back
Top Bottom