Wachaga: Nini maana ya neno hili

Wachaga: Nini maana ya neno hili

Hanginyue Inasimama kama Sijui nyie... Labda Mtu anaweza kukusalimia Mgona vihi? yani mmelalaje? Hapo unamjibu Hakijambo hanginyue? yan hatujambo Sijui wewe
 
kiitikio cha salamu kwa kisambaa mtu anasema ongai unasema tiwedi hanginwye
 
Daah mkuu sasa why akutukanie mama ako???? Daah
 
Back
Top Bottom