Ww ni mwehu.
Hilo neno si la uchagani mkuu, au alisema "ngiinya"
Vipi nyie?Poa mkuu emu niambie maana yake tufunge thread.
Daah mkuu !! 2015?? Nimeamini mapenz yanaweza kukufanya ukachizika maana nilichokiandika hapa kwa akili nilizonazo sasa siwez kuthubutu kuandikaVipi nyie?