Wachaga wakwe zangu poleni, ilikuwa wiki yenu kwa vituko!

Wachaga wakwe zangu poleni, ilikuwa wiki yenu kwa vituko!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)

Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!

Wiki ilianza na mangi Wilfred Massawe, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Massawe alivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.

Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.

Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi

Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!
 
Wamegawana majengo ya serikali,alex na marehemu,mochwari,yule tapeli na neema segerea
 
kuna mchanga mmoja kawapanga wazee kule visiwani mpaka wakamwita abuubakari
Kwakweli nilijikuta nacheka sana....🤣🤣
Maana mwenyekiti ametua fora....😂😂
 
Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)

Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!

Wiki ilianza na mandi Shayo, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Shayo aivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.

Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.

Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi

Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!
Mleta mada ww ni zaidi ya mpumbavu. Yaliotokea kibiti miaka kadhaa iliyopita hukuyaona mbona hukuandika chochote kuhusu makabila ya waliohusika, mauaji ya albino katika mikoa mbali mbali nk. Kwanza sijui kwann nimetumia muda wang na data zang kukujibu mjinga ww.
 
Mleta mada ww ni zaidi ya mpumbavu. Yaliotokea kibiti miaka kadhaa iliyopita hukuyaona mbona hukuandika chochote kuhusu makabila ya waliohusika, mauaji ya albino katika mikoa mbali mbali nk. Kwanza sijui kwann nimetumia muda wang na data zang kukujibu mjinga ww.
Mkuu sijaoa Kibiti!
 
Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)

Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!

Wiki ilianza na mandi Shayo, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Shayo aivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.

Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.

Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi

Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!
Ukibaki nyumbani unachomwa moto
Ukienda bar unapigwa risasi.
Ukikimbilia kwa wakala unakatwa.
Wanaume hii wiki yetu kazi ipo
 
Enzi hizo wanawake wa kichaga walikua wanaogopeka kwa kupenda sana pesa na kuleftisha watu inpiece ili warithi mali.

Sasa imeongezeka hii ya kukuchomea mumo kwa mumo aisee. Hawa watu ni hatari.
Wiki lao hili 😂😂
Matukio kam tarime vile
 
Mleta mada ww ni zaidi ya mpumbavu. Yaliotokea kibiti miaka kadhaa iliyopita hukuyaona mbona hukuandika chochote kuhusu makabila ya waliohusika, mauaji ya albino katika mikoa mbali mbali nk. Kwanza sijui kwann nimetumia muda wang na data zang kukujibu mjinga ww.
Hili Sasa Povu! Kwani wwe ni Shemeji yake na mleta maada au wwe mkwewe!?
 
Ni kweli wakwe zangu hawa bana wananiangusha...
 
Back
Top Bottom