miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Eeh, asirudi[emoji23] nakata chululu yake anayoringia[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yani umemchukia kabsa
Na hutak arudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh, asirudi[emoji23] nakata chululu yake anayoringia[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yani umemchukia kabsa
Na hutak arudi
Huwa wako poa, ni mwezi umepatwa tu.Ni kweli wakwe zangu hawa bana wananiangusha...
Malizia na mwenyekiti mbowe kabisaaa,naye kaja na yakeLeo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)
Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!
Wiki ilianza na mandi Shayo, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Shayo aivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.
Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.
Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi
Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna mchanga mmoja kawapanga wazee kule visiwani mpaka wakamwita abuubakari
Akili zako zooote unaenda kuzoa gogo la Uchaggani! Kiuno utadhan mwanamke kafungwa gunia la Misumari🤣🤣🤣Ni kweli wakwe zangu hawa bana wananiangusha...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wakat bado unaitaka[emoji14][emoji14] utaikatajeEeh, asirudi[emoji23] nakata chululu yake anayoringia
[emoji23][emoji23] hataa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] wakat bado unaitaka[emoji14][emoji14] utaikataje
Kuanzia tarehe 15 mwezi huu hata Mimi akili haiko sawa ,Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)
Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!
Wiki ilianza na mangi Wilfred Massawe, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Massawe alivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.
Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.
Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi
Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!
Umeshapata linalokutoshea sasa [emoji14][emoji14][emoji14][emoji23][emoji23] hataa
😂😂😂😂Mabomu ni baada ya kukusanya maex na mabwana wote wanaosumbua. Tusiharibu resources.
Una uhakika kuwa Alex naye ni Mangi ❕❓❔Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)
Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!
Wiki ilianza na mangi Wilfred Massawe, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Massawe alivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.
Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.
Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi
Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!
Mangi kabsaaa!Una uhakika kuwa Alex naye ni Mangi ❕❓❔
Jombaaaaa, umenoaMangi kabsaaa!
Sikiliza clip ya KamandaJombaaaaa, umenoa
Mtoa uzi umenifurahisha sana et hapo hapo kwa alex mzee muliro kala vumbi😂😂Leo nalazimisha kuwatania wakwe zangu, wachaga!
(sisemi nimeoa mchaga yupi)
Mimii nimeoa huko kwa hiyo msifure kwa hasira na mkani RIP mie chasaka!!
Wiki ilianza na mangi Wilfred Massawe, mambo ya viti moto yamekuwa magumu kwa hiyo kaanza utapeli.
Akajiita Katibu uenezi wa chama Tawala na kumtoa upepo Waziri wa JMT!!!
Massawe alivyokuwa na lugha laini, waziri kaingia laini, katoa michuzi nje nje baada ya kuambiwa mtu wa chama tawala anachangisha fedha za harusi ya mwanawe.
Mzee Kamanda Muliro kamdaka.
Katikati ya wiki, kaingia Neema bin Grace Mushi.
Kachoka na penzi la kukopwa, ikabidi atoe funzo kwa mhalifu asije akarudia tena, na liwe fundisho kwa wengine.
Uzoefu wa Neema katika mishkaki ulipitiliza kwa kutumia petroli!
Masikini kijana wa watu aka RIP kikatili, lakini Grace funzo amelitoa
Hata hivyo hasira ya penzi ni hasara!
Naye Mzee kamanda Muliro kamdaka.
Funga kazi ni Alex!
Kila siku anaambiwa Serengeti si mbege, kunywa kwa kituo!
Yeye kaanza juzi yake, bucket baada ya bucket anazimwaga!
Na yeye bado kijana , zile filamu za Tom Clancy wa CIA amezikariri.
Adui wa kufikirika alipojitokeza aliliwa shaba kama kwenye movie.
Alex hakutaka kuacha ushahidi.
Mzee Kamamnda Muliro hapo kala vumbi
Mashemeji zangu na bado Desemba inakuja , taratibu wajameni!!!