Wachaga waongo

Ndiyo vipo vinaitwa nduuu na ni dawa ya presha zile nduu chungu ... na kuna nduu tamu acha kabisa hichi kiazi kitamu sana na.kikishamalizia kutoa viaz vya juu kuna vya chini vinakuwa na kama manyoya manyoya hivi vile ndio vitamy zaid

Upo sawa kbs miss chagga
 
Last edited by a moderator:
vipo ndungu yangu, usibishane kwa kitu usichokijua. Ni vizuri mtu ukafanya research kabla hujabisha. hivyo viazu huwa vinazaa juu na chini, vya juu ni vichungu mostly ila vya chini nu vitamu alafu ni vya njano. Ntafanya utafiti kama vinapatikana uchagan tu
 
Naomba hizi thread ambazo zinazungumzia ukabila moja kwa moja ziondolewe haraka kama zile za dini. Fanyia kazi hili suala mkuu Invisible.

ni kweli kabisa mkuu hayo mambo ya ukabila sijui yanatoka wapi
 
Last edited by a moderator:
Meku hapo sawa nduu ukichanganya na machalari ni kitamu sana,umenikumbusha mbali sana

Machalari tena" nazani bado huvijui.
Nduu ni tofauti na maduma ( soo) zenyewe ni white nduu zina rangi ya njano upishi wake huwa hazimenywi huchemshwa tuu.
 
Kweli chaga's ni special, ndio kabila linalozungumziwa zaidi.wakilala wakiamka wanawawaza.
 
Machalari tena" nazani bado huvijui.
Nduu ni tofauti na maduma ( soo) zenyewe ni white nduu zina rangi ya njano upishi wake huwa hazimenywi huchemshwa tuu.

Mkuu huwa vinatambaa kwenye mti au mgomba,mana kuna wengine huwa wanakula vya kuchoma au sio hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…