jaxonetee
Member
- Aug 1, 2018
- 42
- 50
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kijijini mawero huko wanaita kizungu bei haishikikiDah elimu? Nakimbuka mbali pia tulikuwa tukienda kukata Majani mtoni unakutana na straberrry unajichumia unajilia uku dar pale kisutu kikontainer kidogo elf tano sijui nirudi kijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyeeu mwanammekuAisee babangu hajakudanganya watha wachaga siyo waongo kama unaavogeneralize,hivo viazi vipo rombo tunaviita mamaya
Hahaa mawero! DahBora kijijini mawero huko wanaita kizungu bei haishikiki
"They may forget what you said, but they will never forget how you made them feel.”
Nakumbuka zaman nikiwa kama darasa la tatu au nne hivi nilikuwa nmekaa kwenye kijiwe cha kahawa kuna mzee mmoja akawa anawapiga fix wenzake kwamba amewahi kule Mpanda kuna mahindi yanazalia chini kama mihogo.Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!