miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Heheheee karibu wifiii. Hatunaga makuu sisiAvae waache hao yani mimi nawapenda kinyamaaa mmenipa mbegu nzuriii watoto macuteee na mahandsome.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheheee karibu wifiii. Hatunaga makuu sisiAvae waache hao yani mimi nawapenda kinyamaaa mmenipa mbegu nzuriii watoto macuteee na mahandsome.
Tujuane, unadangwa ama unadangia?Wewe kamzee kahuni wewe, ushaniacha upo na kabinti kabichii
Yaani hata sielewi , ngoja niwaacheni nyie muendelee tu😂
Baki na matatizo yako.Yaani hata sielewi , ngoja niwaacheni nyie muendelee tu[emoji23]
Hapana baki nayo mwenyewe, nimekuachia😂
Huyu Extrovert ni mpare baada ya wachaga kumfukuza mjini na kumpeleka milimani huko ugweno basi hasira inaendelea vizazi na vizazi..
Binti mbichi wapi huyu Bibi..!Wewe kamzee kahuni wewe, ushaniacha upo na kabinti kabichii
Kumbe ndio maana bana. Atuache tu mangi tule maisha.Huyu Extrovert ni mpare baada ya wachaga kumfukuza mjini na kumpeleka milimani huko ungweno basi hasira inaendelea vizazi na vizazi..
Mbona makasiriko??kubabako
UtanitambuaBinti mbichi wapi huyu Bibi..!
Aisee Nasubiri uniambie twende Lin Mwanza tukaishukuru hii miili kwa kutuvumilia mwaka mzima
Mm naburuza hii ngozi since day one hajaolewaNa marinda yako umeyachoka mkuu? Kuwa makini
Wadada wa marangu na mwika waondoe hapo
Hivi hao wachaga walikuwa wa toleo gani? Maana hawa wa sasa sijawahi kutana na vitu vya hivyo!
Nashukuru umeongea wewe mdogo wangu[emoji2]Hivi hao wachaga walikuwa wa toleo gani? Maana hawa wa sasa sijawahi kutana na vitu vya hivyo!
Yaani kuna visu hadi unajiuliza kumbe tulipigwa jamani!! Na vile na sura mmejaaliwa basi [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yaani kuna visu hadi unajiuliza kumbe tulipigwa jamani!! Na vile na sura mmejaaliwa basi [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hivi hao wachaga walikuwa wa toleo gani? Maana hawa wa sasa sijawahi kutana na vitu vya hivyo!