Wachagga walitaka kuunda nchi yao (Chagga State), Mwl. Nyerere akaomba wasifanye hivyo

kama hiyo state ya wachagga ingekuwa hai mpaka leo basi watanganyika tungekuwa na mapambano ya kuvunja muungano sehemu mbili, zanzibar na chagga state.

nyerere alikuwa sahihi kuwasambaratisha hao wachagga sijui alibugi wapi kwa wazenji.


ukabila.
 
Nyerere aliwaharibia sana, imejini unaunganishwa na wauza nchi na majitu ya msoga ni laana tupu.

Wachaga wako siriazi na maisha sna sana tu.

Hawauzi hata hatua moja ya kipande cha ardhi, nafikiri Kilimanjaro ingeshindana na Dubai
Hata Wazanzibar walijichomeka sana kuungana na watu wa nchi hii. Zanzibar ingejitegemea ingekuwa mbali sana kiuchumi hata zaidi ya Kenya. Nchi hii kila alieko kwenye hafikirii chochote zaidi ya tumbo lake na ndugu zake. Mtu anaingia ofisini kichwani anafikiria namna ya kuiba tu.
Wachaga nimefanya nao biashara ni watu smart sana. Wangekuwa mbali sanaaa na nchi yao
 
kama hiyo state ya wachagga ingekuwa hai mpaka leo basi watanganyika tungekuwa na mapambano ya kuvunja muungano sehemu mbili, zanzibar na chagga state.

nyerere alikuwa sahihi kuwasambaratisha hao wachagga sijui alibugi wapi kwa wazenji.


ukabila.

..taarifa kwamba Wachaga walitaka kuunda nchi yao sio ya kweli.

..kuna taarifa rasmi za nyaraka za UN zinaonyesha Mangi Marealle na Mwalimu Nyerere wakiunga mkono Uhuru wa Tanganyika walipoitwa kwa mahojiano ktk vikao vya UN.

..Mangi Marealle aliulizwa kuhusu hadhi na nafasi ya Machifu baada ya Uhuru wa Tanganyika na alijibu anatarajia tutafuata mfano Machifu wa Ghana.
 
Mwandishi amekusudia kupotosha ukweli. Mbona hajaeleza uhasama Kati ya Wakibosho na Wamachame.
 
Wachaga nimefanya nao biashara ni watu smart sana. Wangekuwa mbali sanaaa na nchi yao[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By then (moshi) kilimanjaro ilikuwa mbali sana kimaendeleo kuzidi mikoa kingine ya the then Tanganyika mwalimu alikosea sana kuwaita hawa jamaa wabinafsi kwa sababu kwanza sidhani kama kungekuwa na shida yoyote ya kilimanjaro kujitegemea ni falsafa za kijinga za kijamaa walizokuwa nazo waasisi wa taifa ili la kujifanya eti tupate uhuru kama nchi mbona kuna vi nchi vidogo hata kuliko mkoa wa kilimanjaro na vilipata uhuru vyenyewe ??
 
Sio kitu cha ajabu watu kujitenga,
India,Pakistan,Bangladesh ilikuwa nchi moja,zikajitenga,waislam upande mmoja,wahindu mmoja,
Tribal wars,ni kawaida tu,kuna kabila la wakurd,wapo Iraq,wapo Turkey,na wanataka kujitenga wawe nchi kamili.
 
What is to stop wale wanauzunguka Mlima pekee au mto fulani pekee kuunda nchi yao ? Haya ni mawazo ya mtu ambaye hajui nguvu ya umoja na mwisho wa siku anaweza kusema sababu mtaa fulani umeendelea sana basi tujitenge tuwe mkoa tuondokane na mtaa ule ambao ni masikini....

Naweza kusema mawazo kama yako ni kutokuangalia the whole equation; unaangalia pros to bila cons...
 
Eeeeeh....Vya nyumbani haviibiwi kamwe...
MAANA VINAPIGWA MORO VINAENDA MLIMANI, UNAKUMBUKA MZEE WA KIRARACHA, ANAKUKAMATA MTWARA, ANAKUAGIZA MKUTANE VUNJO, SASA VUNJO NA IKULU WAPI NA WAPI. HATARI NA NUSU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…