Wachagga, Wamasai, wameru na wapare wamejitahidi sana kuchanganya damu na makabila mbalimbali Duniani; makabila yote xmass macho kaskazini

Wachagga, Wamasai, wameru na wapare wamejitahidi sana kuchanganya damu na makabila mbalimbali Duniani; makabila yote xmass macho kaskazini

Hiv nyinyi hamuwezi jisifia kivyenu mkaacha kuyasema makabila mengine?

Kila kabila lina culture zake na ziheshimiwe...usiforce wote mfanane..huo ni ushamba...
Na mara nyingi makabila unayoyataja taja ni yale mnayofeel inferior mbele yao...yaan unahisi wamekupita so unatafuta attention kutoka kwao

Anyway wahaya wanarudi sana kwao tu..katafute bus la kwenda bk leo uone kama utapata

Stendi ya Bukoba naona imezungushiwa mabati iko inajengwa..

Eti michango ya maendeleo..juzi tu hapa wahaya wamechangia ujenzi wa ujenzi wa uzio wa kisasa wa shule ya sekondary Bukoba na omumwani hapo Bukoba...


Bukoba kunajengwa barabara ya njia nne km 5.1
Bukoba bandari yake inapanuliwa ikizidi kuwa ya pili kwa ukubwa kanda ya ziwa...
Bukoba kunajengwa Tawi kubwa sana la UDSM
Bukoba kunajengwa hospital mpya ya mkoa
Bukoba mji mzima kwenye junction kali kuna taa za kuongoza magari...
Uwanja wa ndege Bukoba unawekewa control tower
Bukoba kunajengwa hospital mpya ya moyo...

Jana tu wahaya diaspora walikuwa na kikaa na mkuu wa mkoa wao kujadili jinsi ya kuinua uchumi wa mkoa wa kagera...hoja kibao zimeletwa na mambo mengi yanafanyika siku hiz...bukoba ni construction site na mwakani itapata new shopping mall


Tuje moshi kuna kitu gani kinaendelea zaidi ya mji kuzidi kuchakaa kila kukicha....
Ni kweli walifanya kikao ambacho Waziri wa barabara alikuwepo

Hakika wapambane maana pako nyuma sana ni Aibu,haiwezekani bukoba yenye wasomi bado iko hali duni hivi mpk leo

Ni Aibu sana
 
Wachagga tunabaguana mpaka kifamilia sio kiukooo tu wala usishangae....
Inashangaza sana kwa kweli wakati kutwa mnajisifia kuwa mko civilized...

Kwa mambo na ujenzi unaofanyika Bukoba sasa hiv...baada ya miaka michache patakuwa pazr sama
 
😅😅😅😅 kaka mpaka sasa hivi haijasogezwa ipo tu mkuu....kumbe huku nyumbani ushafika japo najua wewe mhaya, ulikuja kufanya nini??? Lami bado mvua ikinyesha tope la kufa mtu.
Hunidanganyi chochote kuhusu jamii ya wachaga na vijiji vyao...nimeenda kote huko hadi Rombo ndani ndani huko...umbwe, machame, marangu, mwika, mweka nk

Na bado kuna umaskini mkubwa tu...bado hata nyumba za tope zipo na za mabanzi pia...japo na nyumba decent zipo...
Lakin Tambo ni nyingi kuliko uhalisia

Ukiachana na barabara za lami kuelekea kwenye mageti ya mlima Kilimanjaro moshi vijijini hakuna tofauti sana Bukoba vijijini japo Bukoba vijijini , muleba, misenyi na karagwe kuna nyumba nzr sana zaidi na nyingi kuliko huko moshi vijijini ambazo ukiachana na wafanyabiashara wachache nyumba nyingi hazina tofauti zilizoko kimara
 
Yaani wanawashwa washwa sana na cha kushangaza wanajaribu kujionesha wao ni bora kuliko wengine!
Kila mtu apambane na hali yake!
Mkuu punguza hasira, usichukulie huu Uzi serious kiivyo haha
 
Ni kweli walifanya kikao ambacho Waziri wa barabara alikuwepo

Hakika wapambane maana pako nyuma sana ni Aibu,haiwezekani bukoba yenye wasomi bado iko hali duni hivi mpk leo

Ni Aibu sana
Tatizo la Bukoba lilikuwa baadhi ya wafanyabiashara wabinafsi ambao wako katika ccm hapo mjini Bukoba waliokuwa wameshikilia kila kitu hapo mjini Bukoba kama abood alivyoshikilia Morogoro...ndo maana hata wahaya walikuwa wanapakimbia kwenye uwekezaji...ilifikia hatua mtu akianzisha mradi wowote hata hotel tu anapigwa vita na fitina mpaka anafunga hio hotel...walikuwa wanafanya hivi kama huo mradi hauna maslahi nao...

Ila sasa mambo yamebadilika...wamekuja wahaya wasomi vijana wagumu na wenye misimamo waliochoka na kudumaa kwa mji...kuanzia mbunge huyu byabato ambaye anakubalika kwa vijana wengi...japo naye bado anapata upinzani mkubwa kutoka kwa hao wabinafsi mpaka analia hadharani lakin watu wa Bukoba wanamsaport ndo maana sasa mambo yanafanyika...ukiongeza na backup ya bashungwa, baadhi ya maprofessor na zile takwimu kuwa mkoa wa kagera ni wa mwisho kiuchumi ( na hizi zimetengemezwa makusudi kagera ili kagera iwe ya mwisho na mwisho mkoa ukumbukwe) basi ndo wale wanasiasa wanapata shida kuendeleza ajenda zao...

Hata hii barabara ya njia nne nyumba kibao zimevunjwa na nyingine zitavunjwa sana tu...barabara lazima ijengwe 5.1km mpaka bandari ya Bukoba maana barabara ni ya tanroad...japo bado hao wabinafsi wanapinga huu mradi imagine....mimi siku nikiwa mkubwa aisee hao watu watakuwa wanaokotwa kwenye viroba mto kagera...

Na hili si tatizo la kagera tu ni Tz nzima ndo maana maendeleo yanazubaa sana kwa sababu ya ubinafsi
 
Tatizo la Bukoba lilikuwa baadhi ya wafanyabiashara wabinafsi ambao wako katika ccm hapo mjini Bukoba waliokuwa wameshikilia kila kitu hapo mjini Bukoba kama abood alivyoshikilia Morogoro...ndo maana hata wahaya walikuwa wanapakimbia kwenye uwekezaji...ilifikia hatua mtu akianzisha mradi wowote hata hotel tu anapigwa vita na fitina mpaka anafunga hio hotel...walikuwa wanafanya hivi kama huo mradi hauna maslahi nao...

Ila sasa mambo yamebadilika...wamekuja wahaya wasomi vijana wagumu na wenye misimamo waliochoka na kudumaa kwa mji...kuanzia mbunge huyu byabato ambaye anakubalika kwa vijana wengi...japo naye bado anapata upinzani mkubwa kutoka kwa hao wabinafsi mpaka analia hadharani lakin watu wa Bukoba wanamsaport ndo maana sasa mambo yanafanyika...ukiongeza na backup ya bashungwa, baadhi ya maprofessor na zile takwimu kuwa mkoa wa kagera ni wa mwisho kiuchumi ( na hizi zimetengemezwa makusudi kagera ili kagera iwe ya mwisho na mwisho mkoa ukumbukwe) basi ndo wale wanasiasa wanapata shida kuendeleza ajenda zao...

Hata hii barabara ya njia nne nyumba kibao zimevunjwa na nyingine zitavunjwa sana tu...barabara lazima ijengwe 5.1km mpaka bandari ya Bukoba maana barabara ni ya tanroad...japo bado hao wabinafsi wanapinga huu mradi imagine....mimi siku nikiwa mkubwa aisee hao watu watakuwa wanaokotwa kwenye viroba mto kagera...

Na hili si tatizo la kagera tu ni Tz nzima ndo maana maendeleo yanazubaa sana kwa sababu ya ubinafsi
Hilo la kuanzisha Biashara na kufanyiwa figisu na wakongwe walishibana na viongozi wa Halmashauri ni kweli

Nakumbuka tulikuja na mradi mmoja wa kijerumani kutoka Arusha pamoja na kampuni ya solar (Mobisol) ambayo ingetoa ajira nyingi kwa wazawa...

Pale Halmashauri wakaanza ujinga ujinga na kutuchelewesha bila sababu...tukahamia KAHAMA
 
Hilo la kuanzisha Biashara na kufanyiwa figisu na wakongwe walishibana na viongozi wa Halmashauri ni kweli

Nakumbuka tulikuja na mradi mmoja wa kijerumani kutoka Arusha pamoja na kampuni ya solar (Mobisol) ambayo ingetoa ajira nyingi kwa wazawa...

Pale Halmashauri wakaanza ujinga ujinga na kutuchelewesha bila sababu...tukahamia KAHAMA
Ni kweli hii culture ipo Tanzania sio Bukoba tu...ndo maana Tanzania uwekezaji ni mdogo na remmitance ni ndogo kwa sababu ya viongozi na vitengo kwenye halmashauri...wanakuzungusha bila sababu ya msingi au utoe rushwa....

Hii kadhia wanakumbana nayo watu wengi wenye nia ya kufanya uwekezaji kwenye mikoa yao...ndo maaana sehemu zenye wahindi uwa haziendelei maana na wao pia ni wazr wa figisu..ukianzisha biashara inayofanana na yao basi wataonga hata halmashauri ili usifanikiwe...
 
Inashangaza sana kwa kweli wakati kutwa mnajisifia kuwa mko civilized...

Kwa mambo na ujenzi unaofanyika Bukoba sasa hiv...baada ya miaka michache patakuwa pazr sama
Nyie mnakatabia cha ubinafsi sana na dharau.
 
Hunidanganyi chochote kuhusu jamii ya wachaga na vijiji vyao...nimeenda kote huko hadi Rombo ndani ndani huko...umbwe, machame, marangu, mwika, mweka nk

Na bado kuna umaskini mkubwa tu...bado hata nyumba za tope zipo na za mabanzi pia...japo na nyumba decent zipo...
Lakin Tambo ni nyingi kuliko uhalisia

Ukiachana na barabara za lami kuelekea kwenye mageti ya mlima Kilimanjaro moshi vijijini hakuna tofauti sana Bukoba vijijini japo Bukoba vijijini , muleba, misenyi na karagwe kuna nyumba nzr sana zaidi na nyingi kuliko huko moshi vijijini ambazo ukiachana na wafanyabiashara wachache nyumba nyingi hazina tofauti zilizoko kimara
Sikupingi ni kweli, shida ni tambo nyingi tu sema jamii zetu zinafanana sana.
 
Karibuni sana Kilimanjaro ndugu zangu
20230711_165129.jpg
 
Hiv nyinyi hamuwezi jisifia kivyenu mkaacha kuyasema makabila mengine?

Kila kabila lina culture zake na ziheshimiwe...usiforce wote mfanane..huo ni ushamba...
Na mara nyingi makabila unayoyataja taja ni yale mnayofeel inferior mbele yao...yaan unahisi wamekupita so unatafuta attention kutoka kwao

Anyway wahaya wanarudi sana kwao tu..katafute bus la kwenda bk leo uone kama utapata

Stendi ya Bukoba naona imezungushiwa mabati iko inajengwa..

Eti michango ya maendeleo..juzi tu hapa wahaya wamechangia ujenzi wa ujenzi wa uzio wa kisasa wa shule ya sekondary Bukoba na omumwani hapo Bukoba...


Bukoba kunajengwa barabara ya njia nne km 5.1
Bukoba bandari yake inapanuliwa ikizidi kuwa ya pili kwa ukubwa kanda ya ziwa...
Bukoba kunajengwa Tawi kubwa sana la UDSM
Bukoba kunajengwa hospital mpya ya mkoa
Bukoba mji mzima kwenye junction kali kuna taa za kuongoza magari...
Uwanja wa ndege Bukoba unawekewa control tower
Bukoba kunajengwa hospital mpya ya moyo...

Jana tu wahaya diaspora walikuwa na kikaa na mkuu wa mkoa wao kujadili jinsi ya kuinua uchumi wa mkoa wa kagera...hoja kibao zimeletwa na mambo mengi yanafanyika siku hiz...bukoba ni construction site na mwakani itapata new shopping mall


Tuje moshi kuna kitu gani kinaendelea zaidi ya mji kuzidi kuchakaa kila kukicha....
Hata kama unachuki na moshi usiilinganishe na bukoba mkuu moshi wanajenga njia 4 kilometer 8 tena standard ya kisasa, moshi pale kunakua na airport 2 wana kia na moshi airport iko kwenye ujenzi wewe unaelezea mipango ya bukoba umejaribu japo kufuatilia vitu gani vinaendelea moshi?? Au ndo kuzani bukoba tu ndio inajengeka kwingine Pamelala mtoa hoja yuko sahihi kabisa watu wa kaskazini wamechangamana kwao na ni jambo la kujifunza ili sote tuijenge Tanzania 🇹🇿 yenye mafanikio wewe hapo jiulize makabila ya kaskazini yaliyoko kagera ulinganishe na watu wa kagera walioko kaskazini au sehemu zingine za nchi utagundua bado watu wa bukoba ni waoga wa fursa nenda benako, kyaka, ngara, mtukula, omurushaka, kayanga, muleba, bukoba mjini kote utakuta watu wa kaskazini wanafanya biashara wameanzisha makazi na wanaendeleza maisha na si bukoba tu no nchi nzima sasa wewe toka hapo nenda songea au mtwara kama utakuta mtu wa bukoba labda mleta mada ana hoja na si ulete kujikweza sijui mnanini kwanza kwa taarifa yenu bukoba ni moja ya miji ya siku nyingi ila imedumaa sana maendeleo mnayosema leo mlitakiwa mpate siku nyingi kwa elimu kufika kwenu mapema shida ni mmekua waoga sana wa kutoka na kuchangamana leo hii hata kwa kahama hamuingii bukoba mjini yote hamna sehemu iliyochangamka hata kuikuta katoro tu hapo na jinsi maneno yako ya kujimwambafay nmeelewa kabisa kwanin bukoba inachelewa kupiga hatua inatakiwa mtoke mjichanganye na mkipata hela mrejee kujenga kwenu kama watu wa kaskazini wanavyofanya , nyie bukoba msifie miradi mwanza na dodoma wasemaje 😀
 
Leta
Unapoteza muda kuhangaika na watu finyu kama hao?
Wao ni kujisifu kiboya tu. Juzi tupo downtown fulani kuna moja linajisifu kwamba "in Tanzania, the Chaga tribe is considered the most developed by European and US standards.

Akaendelea kudai kwamba, "the Chaga community stands out for having the highest number of LGBTQ individuals, who live without fear of stigma or harm in their community".

Lile fala likaendelea kudai kuwa "the LGBTQ community in the Chaga tribe is robust and expanding, surpassing the combined numbers of other communities in the coutry, excluding Zanzibar".
Akaongezea mfano yule shoga aliyefanyikwa operation ya kubadili jinsiakwa kusema , "the first Tanzanian man to undergo gender reassignment surgery was from the Chaga tribe".
Leta link tusome huo utafiti na namna ulivyo fanyika vinginevyo unapiga umbea kama khadija kopa
 
Back
Top Bottom