Iyo ilifanya Coman akose penalty?Matukio yanaongea [emoji116]View attachment 2452109
Acha kukurupuka,Soma contentIyo ilifanya Coman akose penalty?
Tena bahati hii ni statistic ya mechi nzima. Ungeweka ya first half team ufaransa wangelia. Kipa wa Argentina hakugusa mpira.
๐๐๐ thubutu mpira umeanza kufatilia juzi apa,tena wewe utakua shabiki wa citizensTubishane kwa hoja bhana haya mambo ya basketi boll yamejiletaje hapa๐๐๐๐๐
Btw naeza nikawa naujua mpira kukuzidi hata wewe muone kwanza
Mkuu usiforce kila mtu aishi vile unavofikiria wewe๐๐๐๐๐๐ thubutu mpira umeanza kufatilia juzi apa,tena wewe utakua shabiki wa citizens
Kweli kabisa sio kwa ile shoot ni vere week mkuu ๐๐๐
nimerelax sana,wew shabiki mbappe ndo unatapatapaMkuu usiforce kila mtu aishi vile unavofikiria wewe๐๐๐
Unatumia nguvu sana na hata mia hujapewa relax
Ingia mitandaoni uangalie huyo Penaldo kama anatrend? Dunia nzima kwa sasa inamzungumzia MessiHapana ila ukiangalia tu wale jamaa ni kama wanabenwa flani hivi, em karewatch mechi ya jana ile first half, the referee alikua upande wao kabisa hata penalty ilikua n zawadi nadhan hata VAR hawakufanya assessment
Chakushangaza ameshinda ila Ronaldo ndo ana trend Poleni ๐๐
Hata no vile ww unaona natapata bt i can assure u naenjoy kubishana na nyie hapa ni raha mno๐๐๐๐๐๐๐nimerelax sana,wew shabiki mbappe ndo unatapatapa
wala hatubishani tunatoa hoja kwa hoja,afu kumbe wewe ni demu nkajua naongea na mtu mpira niueHata no vile ww unaona natapata bt i can assure u naenjoy kubishana na nyie hapa ni raha mno๐๐๐๐๐๐๐
Panic at ur own risk
Aah we nae angalia hii comment ya saa ngapi,Ingia mitandaoni uangalie huyo Penaldo kama anatrend? Dunia nzima kwa sasa inamzungumzia Messi
Unaongea ujinga ujinga tu hapa
๐ฎ ๐ฎ ๐ฎAah we nae angalia hii comment ya saa ngapi,
Watu hutrend muda maalum once muda ukipita hawatrend
Relaxx
wala hatubishani tunatoa hoja kwa hoja,afu kumbe wewe ni demu nkajua naongea na mtu mpira niue
๐ฉ๐ฉ๐ฎ ๐ฎ ๐ฎ
๐kafatilie ARIDHIOKwan demu bongo ๐๐๐๐๐
Futbol is for everybodyyy bru
Hii picha ni nzuri jamani...