Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
Kwangu mimi mchambuzi bora ni yule anayekuwa na TBC anaitwa Kashasha kama sikosei. Huyu mtu yuko very technical na very knowlegeable.
1.MWALIMU KASHASHA......Azam inabidi wafanye mpango wamsogeze tu pale Tabata
Hapo Wachambuzi Ni Wawili Tu Dr. Leakey Abdallah Na Haji Manara Waliobaki Ni Waganga Njaa Tu Na Watangazaji Wa Kisanii Tupu.
Hapo Wachambuzi Ni Wawili Tu Dr. Leakey Abdallah Na Haji Manara Waliobaki Ni Waganga Njaa Tu Na Watangazaji Wa Kisanii Tupu.
Mkuu hivi ni vitu viwili tofauti tena tofaut sana kuchambua mpira sio kua kocha.ukocha ni proffesional,uchambuz nikujua mambo mambo tu ya mpira...Tatizo wabongo kila sehemu siasa tuu.
Taifa stars wangekuwa wanawatumia hawa wazawa kama kina dr.leaky mwl. Kashasha etc kwenye dawati la ufundi ingekuwa fresh sana tusikimbilie ngozi nyeupe mimi binafsi nakuwa very comfortable nikifundishwa na mwalimu mzawa mnaelewana lugha unakuwa huru kuuliza usipoelewa etc tuigeni mfano wa timu ya nigeria jamani steven keshi anavopika vijana.
Mkuu hivi ni vitu viwili tofauti tena tofaut sana kuchambua mpira sio kua kocha.ukocha ni proffesional,uchambuz nikujua mambo mambo tu ya mpira...
maestro naye mchambuz au mtangazaj wa habar za spot,jifunze kutofautsha kijana
Kashasha