Wachambuzi bora watano wa soka nchini

Wachambuzi bora watano wa soka nchini

Kwa list hii kama kuna mchambuzi mzuri ni mmoja tu wengi hamna kitu hasa Shafii Dauda huyu si mchambuzi bali ni mtu anayesoma tu historia na vibweka vya mpira. Wengi hapo unakuta anaulizwa afafanue goli lilivyofungwa anaanza kuongea goli kama hili linanikumbusha mwaka flani lilifungwa na mchezaji flani mwenye kilo flani na urefu flan aliyezaliwa nchi flani yani hawezi kusema kitaalamu goli lilivyofungwa zaidi ya kunukuu historia
 
Dr Leaky wa kitambo sana nimeanza kumjua tokea nipo msingi. hao wengine labda Eddo pia anajitaidi sana miaka 4 iliopita nilimuacha akimalizia master yake pale Mlimani. Dauda ni mtaalam wa finance sijui kama anajua mpira vizuri , Jef ni bingwa wa takwimu (statistics).
 
Tatizo wabongo kila sehemu siasa tuu.
Taifa stars wangekuwa wanawatumia hawa wazawa kama kina dr.leaky mwl. Kashasha etc kwenye dawati la ufundi ingekuwa fresh sana tusikimbilie ngozi nyeupe mimi binafsi nakuwa very comfortable nikifundishwa na mwalimu mzawa mnaelewana lugha unakuwa huru kuuliza usipoelewa etc tuigeni mfano wa timu ya nigeria jamani steven keshi anavopika vijana.

Tofautisha uchambuzi wa soka NA benchi LA ufundi. Uchambuzi wa soka haina vyeti. Benchi LA ufundi" Mwl wa mpira" MTU anasoma. Sports analysts ni jinsi unavyouelewa mchezo. Angalia hata wakitakiwa kubashiri matokeo huwa wanakosea. Football is a great science
 
Hapana mkuu mimi sikubaliani na wewe kabisa mtu anapochambua huwa anatoa tactics flani flani ambazo zingefatwa zingetoa good results sasa hao wachambuzi hao wenye kujua hizo mambo ndo wanaotakiwa kwenye timu watoe ushauri na inapendeza sana

Unakstaa Kwa kutokuelewa kwako. Thomas Mlambo wa Supersport n mchambuzi lakini sio KOCHA. Dr Leakey Abdallah aliwahi kupigiwa debe NA mashabiki wa soka eti afundishe Taifa Stars akasema yeye sio Mwl. Owen ni coatch? John Barnes ni Coatch? Samwel Kufor ni mwalimu?
 
Hapo Wachambuzi Ni Wawili Tu Dr. Leakey Abdallah Na Haji Manara Waliobaki Ni Waganga Njaa Tu Na Watangazaji Wa Kisanii Tupu.
Dr. Leaky uchabuzi wake haupo technically sana kama ulishamfuatilia vizuri. Yeye anaweza kutoa historia pia na reaction za mashabiki kwa timu fulani. Pia kinachoonekana anajua kuchambua ni kwasababu anapenda sana mpira na ni mmoja ya watanzania ambaye mara nyingi anaweza kusafiri kwenda Ulaya kuangalia gemu fulani mfano hizi za Champions League au Euro na WC. Kwahiyo uzoefu wake ndio unasabaisha hivyo.

Lakini kwenye ufundi zaidi Mwl. Kashasha ni zaidi ya wote kwa mtazamo wangu. Yule mzee nimemfuatilia sana. Akiangalia mpira dakika 15 tu anaweza kutabiri timu inafungwa kama haitabadili mfumo fulani. Aisee jaribu kumfuatilia huyu mzee huwa ananipa raha sana jinsi alivyo technically.

Eddo Kumwembe pia ni mzuri

Jeff Leya nae ni mzuri

Manara namkubali

Shafii Dauda bado sana huyu
 
Tofautisha uchambuzi wa soka NA benchi LA ufundi. Uchambuzi wa soka haina vyeti. Benchi LA ufundi" Mwl wa mpira" MTU anasoma. Sports analysts ni jinsi unavyouelewa mchezo. Angalia hata wakitakiwa kubashiri matokeo huwa wanakosea. Football is a great science

Jamaa anatakiwa aelewe kuwa. Ni rahisi sana Kocha kuwa mchambuzi kuliko mchambuzi kuwa Kocha.
 
Leak hafai ata kuwemo kwenye hiyo list achilia mbali kumuweka namba 1, anachojua ni historia tu
 
Dr. Leaky uchabuzi wake haupo technically sana kama ulishamfuatilia vizuri. Yeye anaweza kutoa historia pia na reaction za mashabiki kwa timu fulani. Pia kinachoonekana anajua kuchambua ni kwasababu anapenda sana mpira na ni mmoja ya watanzania ambaye mara nyingi anaweza kusafiri kwenda Ulaya kuangalia gemu fulani mfano hizi za Champions League au Euro na WC. Kwahiyo uzoefu wake ndio unasabaisha hivyo.

Lakini kwenye ufundi zaidi Mwl. Kashasha ni zaidi ya wote kwa mtazamo wangu. Yule mzee nimemfuatilia sana. Akiangalia mpira dakika 15 tu anaweza kutabiri timu inafungwa kama haitabadili mfumo fulani. Aisee jaribu kumfuatilia huyu mzee huwa ananipa raha sana jinsi alivyo technically.

Eddo Kumwembe pia ni mzuri

Jeff Leya nae ni mzuri

Manara namkubali

Shafii Dauda bado sana huyu

Well Said Mkuu Big Up!
 
EDO ndo mchambuz mzur akifuatiwa na dr rick, shafih dauda. Hawa wengine akina jeff leah mbembe nying sana wanakop na kupest
 
Dr. Leaky uchabuzi wake haupo technically sana kama ulishamfuatilia vizuri. Yeye anaweza kutoa historia pia na reaction za mashabiki kwa timu fulani. Pia kinachoonekana anajua kuchambua ni kwasababu anapenda sana mpira na ni mmoja ya watanzania ambaye mara nyingi anaweza kusafiri kwenda Ulaya kuangalia gemu fulani mfano hizi za Champions League au Euro na WC. Kwahiyo uzoefu wake ndio unasabaisha hivyo.

Lakini kwenye ufundi zaidi Mwl. Kashasha ni zaidi ya wote kwa mtazamo wangu. Yule mzee nimemfuatilia sana. Akiangalia mpira dakika 15 tu anaweza kutabiri timu inafungwa kama haitabadili mfumo fulani. Aisee jaribu kumfuatilia huyu mzee huwa ananipa raha sana jinsi alivyo technically.

Eddo Kumwembe pia ni mzuri

Jeff Leya nae ni mzuri

Manara namkubali

Shafii Dauda bado sana huyu

Asante sana!
Wewe una mawazo kama yangu kila mahali. Pia nilikuwa natafuta jina la huyo Kashasha, nilisahau jina lake, nilimuona Tbc nikapiga saluti. Kwa Tz, kwangu huyu ndo namba moja. Umeongea ya Dr. Leakey, uko sawa kabisa na pia nafikiri watu wanamkubali sababu ni mmoja wa wachambuzi wa kwanza kuanza onekana ktk tv enzi za dtv na premier ligi enzi zile, ila hayupo technically au tactically kabisa. Yeye likifungwa goli atakumbushia kwa kulilinganisha na goli lililofungwa kipindi fulani. Kiufupi ni mzee wa historia ktk matukio ya soka. Edo na Leah wanajitahidi sana, bado vijana ila Dauda ni majungu na kuponda, bado sana!
 
anajua sana jamaa bt yeye kwa taaluma ni mwalimu katika soka na sio mchambuzi

Mwalimu wa soka LAZIMA ujue kulichambua soka, hivyo ni mchambuzi wa soka pia na huwa anatenda haki ktk uchambuzi wake. Uchambuzi wa soka hausomewi. Namkubali sana huyu mjomba.
 
Back
Top Bottom