Wachambuzi bora watano wa soka nchini

Kuweka rekodi sawa: Ujeremani waliwafunga Saudi Arabia goli nane mwaka 2002 na sio 2006.
 


duh kumbe bado mnadekea TBC?
 
Dr Leakey anajua historia sio tactics za soka hii ni sababu ya kusoma sana magazeti toka zamani zamani. Ana story sana za kupaka nakshi na chumvi nyiingi, sasa iliposhamili Internet akapotea.
 
Hivi nani anayejua kuchambua sasa kama wote wanapondwa,, kama huna sema napita utaeleweka tu eti!
 
1. Mimi mwenyewe (tycoon Makaveli jr. El classico Diego simeone )
2.Edo kumwembe
3.Kashasha
4. Ricky abdallah
5. haji manara

Hao wengine mtafte pakuwaweka, ila shaffih ni kiazi tena mviringo, na dr ricky ni bingwa wa history
 
Moja mie, hao wengine tafteni pakuwaweka, ila shaffih dauda sijawah kumkubali huyu jamaa, ni km kinyonga vile
 
Leaky, Kumwembe, Shafii, Haji, Kashasha. Nawakubali kibwana na Jeff leya kama upcoming
 
Tatizo tunachanganya wachambuzi na wasimulizi. Pia kuna wale wambea wa mpira. Wapo uptodate na masuala ya mpira. Mchambuzi lazima ajue mifumo na aina ya wachezaji au uchezaji. Kujua historia na umbea wa mpira inakuwa bonus kwake. Huyu ndio Kumwembe.
Dr Leaky anajua historia ya mpira. Umetoka wapi na uko wapi.Si sana mifumo.
Wengine hakuna sehemu waliyobobea zaidi ya kupekua mitandao na kujua umbea wote wa mpira.
 
Uchambuzi ni pamoja na kujua Historia basi Dr.Leakey yuko vizuri zaidi kwa hapo, kwa uchambuzi wa kitaalamu katika game basi nampa Alex Kashasha...

Kwa Ngonjera uchambuzi wa upande mmoja au ligi moja tu na kufata matukio basi hapa wanaingia wote waliobaki kina Haji Manara, Shafih Dauda, Edo Kumwembe, Ibra Masoud, Alex Luambano.. Etc.

Na wapo wachambuzi watangazaji jina Maulid kitenge, Katanga, Dr. Muwa. Etc.

Japo hao niliowataja mwisho wanaweza pia kuelezea masuala ya mpira kitaalamu so ki uzoefu bali kujifunza au kuiga kupitia uchambuzi wa vyombo vya habari vya ng'ambo..
 
Gang Chomba na AC Milan,jamaa anajua kuichambua AC Milan kwa lugha zote english,swahili,kimakonde,kiitaliano,kiarabu,kihausa na hata kisomali dah jamaa ananiacha hoi sana akiisifia AC Milan yaani sidhani kama kuna shabiki kama yeye wa AC Milan mwenye roho ngumu kama yeye,maana AC Milan hii kama inashiriki La Liga inashika mkia inashuka daraja haifikishi hata pointi 10 mwisho wa msimu na ushindi wao draw san siro giusseppe meazza.
 

Huyo Dr.??Ricky ni mjanja wa mjini ambae hukariri habari za soka toka mitandao mbalimbali ya michezo toka ulaya na kuja kuwakoga watu mbele ya TV ambao humuona ni mjuzi wa mambo ya soka wakati ni wa kawaida tu.
Hata Shaffi nae yupo kama
Rick(sio Leakey) japo huyu huwa anajiongeza kuipa maana ya kile anachokichambua.
Hawa ndio the best;
1.Eddo
2.Kashasha.
 

Hatupo tofauti katika mitazamo yetu.
 
appoh dr leakey nipe spelling za jina lake fb.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…