Wachambuzi Clouds Radio na E-FM wasema hakuna haja ya kumrejesha Manara, Kamwe anaendana na Gen- Z, sura yake ilifanya watoto katika idara waogope

Wachambuzi Clouds Radio na E-FM wasema hakuna haja ya kumrejesha Manara, Kamwe anaendana na Gen- Z, sura yake ilifanya watoto katika idara waogope

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hizi ni kauli za manguli wa uchambuzi wa taifa hili, kwamba pale Yanga tayari vijana wa umri mdogo walishajipata, na wanaendesha idara kwa weledi wa dunia ya mbele. Idara imejaa Generation Z ambao wamefanikiwa kuondoa kizazi cha wasema hovyo katika mpira, na usemaji sasa ni proffession kamili kabisa kama lengo la FIFA na TFF lilivyotaka

Wachambuzi wanasema Manara apelekwe idara ya wanachama huko, panamfaa..


Ally Kamwe alipata mshituko juzi baada ya kuona babu kikongwe akiingia katika ofisi za idara na kuanza kusalimia, akitaka kufanya kazi, bila barua yoyote ya kumtambulisha kwamba karudi kazini.

Kama ilivyo kwa watoto wakiona mtu mwenye sura iliyoporomoka kama tope la Uyole Mbeya wakati wa masika, kijana aliingiwa na hofu kubwa, akawa anakumbuka zile muvi za Nsyuka na Mazombi.

Baadhi wanasema kwamba, kinachofanyika ninsawa na kuwakuta akina Kamwe na Priva wananata na biti za nyimbo ya Komasava, halafu Manara anaingia anaomba awekewe wimbo wa enzi zake kama Twist, au Msondo Ngoma.

#GenerationKomasava.




Screenshot_20240730-061321.jpg
Screenshot_20240730-061229.jpg
 
Kumchukia Manara kunachangiwa na umasikini wa WATU and nothing else.

Ukisema umri - Manara umri wake bado mdogo Sana.

Ukisema ufanisi - Manara is good spoke man .

Ukisema Elimu - Manara is educated person.


So ikiwa Gsm wamesema Anaafa na hao ndo provider wakuu wa Yanga sasa iweje sisi waswahili ambao hatuna hata uwezo wa kumpa mshahara mchezaji mmoja tulalamike.?
 
Hixi ninkauli za manguli wa uchambuzi wa taifa hili, kwamba pale Yanga tayari vijana wa umri mdogo walishajipata, na wanaendesha idara kwa weledi wa dunia ya mbele. Idara imejaa Generation Z.

Wachambuzi wanasema Manara apelekwe idara ya wanachama huko, panamfaa..


Ally Kamwe alipata mshituko juzi baada ya kuona babu kikongwe akiingia katika ofisi za idara na kuanza kusalimia, akitaka kufanya kazi, bila barua yoyote ya kumtambukisha kwamba karudi kazini.

Kama ilivyo kwa watoto wakiona mtu mwenye sura iliyoporomoka, kijana aliingiwa na hofu kubwa, akawa anakumbuka zile muvi za Nsyuka na Mazombi.

Baadhi wanasema kwamba, kinachofanyika ninsawa na kuwakuta akina Kamwe na Priva wananata na biti za nyimbo ya Komasava, halafu Manara anaingia anaomba awekewe wimbo wa enzi zake kama Twist, au Msondo Ngoma.

#KomasavaGeneration.




View attachment 3056526View attachment 3056527
Tatizo kubwa ni kuwa wewe unajiona una uwezo wakati ukweli ni sifuri! Si vyema kila kukicha kuanzisha sredi za Yanga wakati tunakujua ni simba dam dam
 
Manara ni mzuri sana kwenye kuchangamsha 'utani' wa Yanga na Simba.

Ila ili kuenda na wakati uliopo ni vyema akamwachia dogo aendeleze gemu.
 
Hizi ni kauli za manguli wa uchambuzi wa taifa hili, kwamba pale Yanga tayari vijana wa umri mdogo walishajipata, na wanaendesha idara kwa weledi wa dunia ya mbele. Idara imejaa Generation Z ambao wamefanikiwa kuondoa kizazi cha wasema hovyo katika mpira, na usemaji sasa ni proffession kamili kabisa kama lengo la FIFA na TFF lilivyotaka

Wachambuzi wanasema Manara apelekwe idara ya wanachama huko, panamfaa..


Ally Kamwe alipata mshituko juzi baada ya kuona babu kikongwe akiingia katika ofisi za idara na kuanza kusalimia, akitaka kufanya kazi, bila barua yoyote ya kumtambulisha kwamba karudi kazini.

Kama ilivyo kwa watoto wakiona mtu mwenye sura iliyoporomoka kama tope la Uyole Mbeya wakati wa masika, kijana aliingiwa na hofu kubwa, akawa anakumbuka zile muvi za Nsyuka na Mazombi.

Baadhi wanasema kwamba, kinachofanyika ninsawa na kuwakuta akina Kamwe na Priva wananata na biti za nyimbo ya Komasava, halafu Manara anaingia anaomba awekewe wimbo wa enzi zake kama Twist, au Msondo Ngoma.

#GenerationKomasava.




View attachment 3056526View attachment 3056527
Mkuu kwani una shida gani na wazee? Wazee mbona bado ndiyo wana run dunia? Unadhani kina Kamwe na Priva ndiyo wanaiendesha Yanga na kuipa hayo mafanikio mnayoyaona?
 
Mkuu kwani una shida gani na wazee? Wazee mbona bado ndiyo wana run dunia? Unadhani kina Kamwe na Priva ndiyo wanaiendesha Yanga na kuipa hayo mafanikio mnayoyaona?
Tehetehe....Mzee Mpili?
 
Kumchukia Manara kunachangiwa na umasikini wa WATU and nothing else.

Ukisema umri - Manara umri wake bado mdogo Sana.

Ukisema ufanisi - Manara is good spoke man .

Ukisema Elimu - Manara is educated person.


So ikiwa Gsm wamesema Anaafa na hao ndo provider wakuu wa Yanga sasa iweje sisi waswahili ambao hatuna hata uwezo wa kumpa mshahara mchezaji mmoja tulalamike.?

Ukisema umri - Manara mdogo sana??


What are you using?
 
Back
Top Bottom