Wachambuzi Clouds Radio na E-FM wasema hakuna haja ya kumrejesha Manara, Kamwe anaendana na Gen- Z, sura yake ilifanya watoto katika idara waogope

Wachambuzi Clouds Radio na E-FM wasema hakuna haja ya kumrejesha Manara, Kamwe anaendana na Gen- Z, sura yake ilifanya watoto katika idara waogope

Alichoshindwa Ali Kamwe ku promote mechi mashabiki wajae uwanja wa Mkapa. Hadi mechi za derby hakuweza. Mechi zilizojaza uwanja ni za bure tu
 
Hizi ni kauli za manguli wa uchambuzi wa taifa hili, kwamba pale Yanga tayari vijana wa umri mdogo walishajipata, na wanaendesha idara kwa weledi wa dunia ya mbele. Idara imejaa Generation Z ambao wamefanikiwa kuondoa kizazi cha wasema hovyo katika mpira, na usemaji sasa ni proffession kamili kabisa kama lengo la FIFA na TFF lilivyotaka

Wachambuzi wanasema Manara apelekwe idara ya wanachama huko, panamfaa..


Ally Kamwe alipata mshituko juzi baada ya kuona babu kikongwe akiingia katika ofisi za idara na kuanza kusalimia, akitaka kufanya kazi, bila barua yoyote ya kumtambulisha kwamba karudi kazini.

Kama ilivyo kwa watoto wakiona mtu mwenye sura iliyoporomoka kama tope la Uyole Mbeya wakati wa masika, kijana aliingiwa na hofu kubwa, akawa anakumbuka zile muvi za Nsyuka na Mazombi.

Baadhi wanasema kwamba, kinachofanyika ninsawa na kuwakuta akina Kamwe na Priva wananata na biti za nyimbo ya Komasava, halafu Manara anaingia anaomba awekewe wimbo wa enzi zake kama Twist, au Msondo Ngoma.

#GenerationKomasava.




View attachment 3056526View attachment 3056527
Jana nikiwa nasikiliza radio 📻 kwenye GARI
Kuna mchambuzi alikua anazungumza

Akawa anatumia code mixing KIINGEREZA na kiswahili neno visibility akiwa na maana ya kuonekana (EXPOSURE)
 
Kumchukia Manara kunachangiwa na umasikini wa WATU and nothing else.

Ukisema umri - Manara umri wake bado mdogo Sana.

Ukisema ufanisi - Manara is good spoke man .

Ukisema Elimu - Manara is educated person.


So ikiwa Gsm wamesema Anaafa na hao ndo provider wakuu wa Yanga sasa iweje sisi waswahili ambao hatuna hata uwezo wa kumpa mshahara mchezaji mmoja tulalamike.?
Hivi ni Tanzania pekee ambapo kila mtu anakuwa na umri mdogo?

Manara ana miaka 50 lakini bado anaitwa ' umri mdogo '.

Kina Ali Kamwe ni early 30s wamefit vizuri na ubunifu juu tofauti na huyu mwingine anayejiropokea tu.
 
Kumchukia Manara kunachangiwa na umasikini wa WATU and nothing else.

Ukisema umri - Manara umri wake bado mdogo Sana.

Ukisema ufanisi - Manara is good spoke man .

Ukisema Elimu - Manara is educated person.


So ikiwa Gsm wamesema Anaafa na hao ndo provider wakuu wa Yanga sasa iweje sisi waswahili ambao hatuna hata uwezo wa kumpa mshahara mchezaji mmoja tulalamike.?
Unasema umri wa Mandara ni mdogo ukilinganisha na wako?
 
Kumchukia Manara kunachangiwa na umasikini wa WATU and nothing else.

Ukisema umri - Manara umri wake bado mdogo Sana.

Ukisema ufanisi - Manara is good spoke man .

Ukisema Elimu - Manara is educated person.


So ikiwa Gsm wamesema Anaafa na hao ndo provider wakuu wa Yanga sasa iweje sisi waswahili ambao hatuna hata uwezo wa kumpa mshahara mchezaji mmoja tulalamike.?
Manara is educated??
 
S
Tatizo kubwa ni kuwa wewe unajiona una uwezo wakati ukweli ni sifuri! Si vyema kila kukicha kuanzisha sredi za Yanga wakati tunakujua ni simba dam dam
asa kama ni simba na anamtete kamwe wa Yanga Kuna shida? Au mkuu umemaanisha Nini andiko lako
 
Back
Top Bottom