Wachambuzi pia huchambuliwa

Prisca sio mchambuzi ni mtangazaji.
 
Kule efm waongoza kipindi ndio vioja kweli kweli makelele mengi kuchekacheka ovyo wanazidiwa mno na wale wa wasafi fm wana utulivu mpaka unasema yes hapa kweli nasikiliza uchambuzi wa michezo
 
Ukimto Alex aluambano hapo hakuna wamaana hata mmoja wamaana.
 
Wanogeshaji.
1. Ricardo Momo - Wasaf Fm
Segment yake kwenye kipindi (Za Ndani) inavutia sana. Ni kama segment ya U Heard ya XXL

2. Mbwiga Mbwiguke
Sijui yu wapi ila kipindi yuko Clouds alitisha sana
Mbwiga yopo times fm
 
Tetesi 😀😀😀😀🙌🙌
 
Hamna Kama Dr Rick , Ali Mayai na George
 
Ali Mayai, Ali Kamwe, George Ambangile na Edo kumwembe ndo wachambuzi pekee wa boli hapa Tanzania
 
Kuna makanjanja yako East Africa n utopolo mtupu yan wako Kama wavulana uchambuz wa wanaume Kama George ambangile na amrii kiemba tu
 
Wachambuzi Wa Tanzania Wengi sana Wanauwezo kiduchu;Sababu kubwa Elimu yetu(Mfumo wa elimu),Umaskini na kutokuwa najitahada binafsi za Mtu katika sekta anayoitumikia(kuifahamu vyema na kwa undani zaiidi).


Pitia Radio tofauti Marika vipindi vyao vya michezo ni Taabu.

Efm fm
Wasafi FM
Cloud's FM
Abood fm-iringa.
Standard redio-singida
Vot/Cg Fm-Tabora.
Kwizera-Kagera
Ebony FM- iringa
kiss FM
Rfa- Mwanza.


Hizo ni Baadhi ya radio kwa uchache nilizopata kuzisikiliza.


Kuna bwana mmoja aliivuruga punchline ya Beauty is in the eye's of the beholder"

Katika neno beauty akaweka smart/Inttelectual/intelligence.

Ukiwa umewapitia na kufunua mambo to fauti tofauti Utawaona wanasafari ndefu na kazi kubwa yakufanya hawa wachambuzi wetu.

MFano kama umepitia:-
The ball is Round by David goldblatt.
The Inverted Pyramid A historical soccer tactics by Jonathan Wilson.
iam zlatan by zlatan ibrahimovic.
Insinder the .mind of managers.
How football began by Phil Collins.
Another way of winning pep Guardiola.
Sir Alex Ferguson autobiography.
I think therefore I play.

bila kusahau documentary za football (Amozon) na kupitia forums za football man Quora,Redcafe Forums.


Pamoja na UWepo wa Internet bado wachambuzi wetu wanachechemea Sana.

Wajitahidi Kunoa vichwa vyao..


Mabidiliko huanza na fikra...wanaweza kuwa chachu kubwa ya kuliinua soka La bongo.
 
Wachambuzi hamna bali michongo wanapeana tu huko sababu wanajuana, Tanzania tuna wachezaji kibao waliocheza ligi kuu wamestaafu, ila hapewi kazi za uchambuzi,nilipo choka zaidi mpaka Salama Jabir nae alikuwa mchambuzi AFCON. Hii inchi kama huna connection kutoka utachelewa sana.

Mimi mechi za VPL mara nyingi half time na badilishaga channel.
 
Amri kiemba muda wote ni kucheka cheka tu.wachambuzi wengi uliowataja hawajui kabisa kutamka majina ya timu au wachezaji,hasa kutoka ujerumani,spain au italy.shafi dauda ni zuzu wa hali ya juu,ni wale ambao kwa kswahili tunawaita debe tupu hutoa kelele nyingi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Shafii Dauda toa huo mstari wa mwisho unamkweza bure. Huyo si Mchambuzi ni mshangiliaji Tu hata ushabiki hawezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…