kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Hata Mkude na Balama waliwahi kubahatisha kupiga mashuti kama yale lakini hakuna aliyepiga Tena shuti kama lile akafuga goli. Debora hataweza kupiga Tena shuti kama lile likawa goli.Kwa mashuti yale ya Ferdinandes lazima muanze kushikwa kiwewe kama hiki. Debora Mavambo ni Mwambaaa haswaaa mwana ukome za kutosha, ile ya Kibu cha mtoto. Mwaka huu mdaka mishale atabong'oa sana tu mjipange