Hata Mkude na Balama waliwahi kubahatisha kupiga mashuti kama yale lakini hakuna aliyepiga Tena shuti kama lile akafuga goli. Debora hataweza kupiga Tena shuti kama lile likawa goli.Kwa mashuti yale ya Ferdinandes lazima muanze kushikwa kiwewe kama hiki. Debora Mavambo ni Mwambaaa haswaaa mwana ukome za kutosha, ile ya Kibu cha mtoto. Mwaka huu mdaka mishale atabong'oa sana tu mjipange
Malipo ni hapahapa kaka Debora aitwe de-bo-rahHuu utetezi unanikumbusha misimu miwili iliyopita baada ya Joyce Lomalisa kusajiliwa! Mashabiki wa simba mlimkejeli sana kwa kumuita dada Joyce!! Sasa na nyinyi mnapitia njia ile ile kwa huyu mchezaji wenu Debora Fernandes.
Yaani ni ubaya ubwela! 😁
Yaani kama siku akitokea mtu akabadili jina la Diblo Didala kuwa Dibulo Dibla atakiona cha mtema kuni, Diblo ataacha show na kuondoka zake. Ethics ni muhimu sana kwenye maisha.Kwao anaitwa DEBORA..
Huu ujinga WA Debra hata mwenyewe anashangaa!
Usione kinyaa Mzee, kwao iko poa tu, Jina halibadiliki!