technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Yanga mnajivunia Joyce
Makolo mnajivunia Kibu na Ngada!Yanga mnajivunia Joyce
Huyo clement ndio kazidi kukiwasha Yanga tamu jamani...na bado dirisha dogoLomalisa+Clement duuuuuh!!!!
Ya warabu Tunisia 😀😀😀😀Kwa mechi gani?
Halafu sema tu mashabiki hamna kumbukumbuYa warabu Tunisia 😀😀😀😀
Ninyi mnajivunia kipi, ngada?Yanga mnajivunia Joyce
Hizi ngoma balaa, uyu dogo clement akitokea kushoto au akicheza 10 anaonekana akiwa mzuri zaidi. Makambo apewe tu mkono wa kwaheri ili apishe wazawa.Lomalisa+Clement duuuuuh!!!!
Ha ha ha inawezekana mkuuHuyo clement ndio kazidi kukiwasha Yanga tamu jamani...na bado dirisha dogo
Naiona unbeaten record kuendelea hadi msimu ujao
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nyie mlipocheza na mtibwa yenye upungufu wa wachezaji 2 ilikuwa ni bahasha ya bei gani mkuu, mkishinda nyie ni halali akishinda yanga ni bahasha, kweli mbumbumbu mnateseka na mtateseka sana tuMnajotekenya na kucheka wenyewe
Yani hata hii mechi ya mzee wa tozo na bahasha unataka kuisifu yanga?
Kiufupi jana yanga lichezapeke yake mengine yote mwigulu madelu syatem nchemba kashamaliza
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Na club africanKwa mechi gani?
Mzize ni mtu na nusu aisee.Huyo clement ndio kazidi kukiwasha Yanga tamu jamani...na bado dirisha dogo
Naiona unbeaten record kuendelea hadi msimu ujao
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
I second you. Bravo BrotherHalafu sema tu mashabiki hamna kumbukumbu
Timu yenu inapopata matokeo mabovu, nyinyi ndio mnakuwa wakwanza kuwanyooshea wachezaji vidole kabla hata ya wachambuzi
Labda kama hufatiliagi interviews za mashabiki baada ya game
Huyo Lomalisa, Morrison hadi Aziz Ki wote walishawahi kusemwa kuwa hawajitumi kama ambavyo walivyokuwa wanacheza kwenye Club zao waliko tokea
Hayo maneno yalisemwa na nyinyi mashabiki
Na hii ni kawaida, ipo hata kwa Simba, kitu nachokiona hapa ni kwamba nyinyi mashabiki ni kama ndio mna uhalali wa kuisema timu yenu vile mtakavyo, ila maneno hayo yakisemwa na mchambuzi tayari inakuwa nongwa, mchambuzi fulani ana chuki
Mimi napenda kusikiliza Dunia ya michezo wapo Radio, pale kuna mchambuzi anaitwa Salumu Mnolela, yule anasema kabisa kuwa Simba mbovu na anakupa na sababu. Simba haina kikosi kipana, Quality ya mchezaji mmoja mmoja bado ni tatizo na mimi namkubalia na pia nakumkubali kama mchambuzi mzuri.
Wala sioni kama hiyo ni chuki kwasababu anachokiongea kinaonekana, so siwezi kutafuta kimechi kimoja kama kile cha Mtibwa nikashinda goli 5 afu nikakitumia hicho kuanza kumsema Salum Mnolela kuwa ni mnafki anachuki na Simba kwasababu kikosi alichosema kibovu kimeshinda bao 5.
Maoni ya wachambuzi yaheshimiwe japo hayawezi kuwa sahihi ila please tusiwajengee chuki. Tutawafanya wawe wanalazimika kuongea unafki ili tu kuturidhisha mashabiki.