Wachambuzi uchwara vipi, Lomalisa bado tumepigwa?

Wachambuzi uchwara vipi, Lomalisa bado tumepigwa?

Huyo joyce tangu asajiliwe jana ndio amekiwasha kwa sababu amecheza na binamu zake.
 
Lomalisa akija kukaa vizuri atakuwa ni moto mwingine, nafikiri bado kuna mahali hajakaa sawa. Beki mzuri kuliko yeyote namba 3 kwa NBC premier league.
Epusha ukoo wako na aibu ndogo ndogo basi mkuu. Joyce ni mzuri ila bado hajafikia kuitwa beki bora NBC
 
Mzize ni mtu na nusu aisee.
Kuna Clement na kuna Yusuph Athumani. Hawa madogo wazuri sana pale mbele, namuona Ambundo akienda kwa Mkopo mahala. Yanga tunapaswa kuachana na Makambo, na winga mmoja wa kimataifa ili kuwapa nafasi wazawa, bila kumsahau Bigirimana.
 
Kuna Clement na kuna Yusuph Athumani. Hawa madogo wazuri sana pale mbele, namuona Ambundo akienda kwa Mkopo mahala. Yanga tunapaswa kuachana na Makambo, na winga mmoja wa kimataifa ili kuwapa nafasi wazawa, bila kumsahau Bigirimana.
Ondoa Makambo, Kisinda na hata Bigirimana. Ila Ambundo abaki ni squad player mzuri tu.
 
Halafu sema tu mashabiki hamna kumbukumbu

Timu yenu inapopata matokeo mabovu, nyinyi ndio mnakuwa wakwanza kuwanyooshea wachezaji vidole kabla hata ya wachambuzi

Labda kama hufatiliagi interviews za mashabiki baada ya game

Huyo Lomalisa, Morrison hadi Aziz Ki wote walishawahi kusemwa kuwa hawajitumi kama ambavyo walivyokuwa wanacheza kwenye Club zao waliko tokea

Hayo maneno yalisemwa na nyinyi mashabiki

Na hii ni kawaida, ipo hata kwa Simba, kitu nachokiona hapa ni kwamba nyinyi mashabiki ni kama ndio mna uhalali wa kuisema timu yenu vile mtakavyo, ila maneno hayo yakisemwa na mchambuzi tayari inakuwa nongwa, mchambuzi fulani ana chuki

Mimi napenda kusikiliza Dunia ya michezo wapo Radio, pale kuna mchambuzi anaitwa Salumu Mnolela, yule anasema kabisa kuwa Simba mbovu na anakupa na sababu. Simba haina kikosi kipana, Quality ya mchezaji mmoja mmoja bado ni tatizo na mimi namkubalia na pia nakumkubali kama mchambuzi mzuri.

Wala sioni kama hiyo ni chuki kwasababu anachokiongea kinaonekana, so siwezi kutafuta kimechi kimoja kama kile cha Mtibwa nikashinda goli 5 afu nikakitumia hicho kuanza kumsema Salum Mnolela kuwa ni mnafki anachuki na Simba kwasababu kikosi alichosema kibovu kimeshinda bao 5.

Maoni ya wachambuzi yaheshimiwe japo hayawezi kuwa sahihi ila please tusiwajengee chuki. Tutawafanya wawe wanalazimika kuongea unafki ili tu kuturidhisha mashabiki.
Wachambuzi wa bongo wana shida sana kaka.. wanapelekwa na upepo tu. Yanga kadroo na mwarabu taifa wanaponda yanga bado haiwezi michuano ya kimataifa kampiga mwarabu tunisia wanaibuka yanga ni moja ya timu kwenye michuano.
 
Wachambuzi wa bongo wana shida sana kaka.. wanapelekwa na upepo tu. Yanga kadroo na mwarabu taifa wanaponda yanga bado haiwezi michuano ya kimataifa kampiga mwarabu tunisia wanaibuka yanga ni moja ya timu kwenye michuano.
Yanga alivyo droo hapa na Tunis uliwasikia mashabiki maoni yao baada ya mchezo?

Nani aliyeweza kusema kule Tunis wataenda kuwatoa Club Africain?

Kwa perfomance ile walioionesha hapa kwa Mkapa unafikiri kulikuwa na hope yeyote ya kuweza kufanya vizuri ugenini?

Hakuna aliyeweza kufikiria Yanga ataenda kufuzu, hiyo sio mashabiki tu mpaka viongozi wa Club hawakuwa na matumaini hayo na huo ndio ukweli.
 
Nishawaambia kama hujasafisha picha usichome nega na ukiamrishwa na maafisa usigome nenda

Vipi Lomalisa leo hakucheza?

Azizi Ki ile mikimbio aliyokuwa anasifiwa imeisaidiaje timu?

Striker mkali ambaye anacheka na nyavu za goli leo vipi au alikuwa anacheka na nyavu za wavuvi?

Mdaka mishale je?
 
Nishawaambia kama hujasafisha picha usichome nega na ukiamrishwa na maafisa usigome nenda

Vipi Lomalisa leo hakucheza?

Azizi Ki ile mikimbio aliyokuwa anasifiwa imeisaidiaje timu?

Striker mkali ambaye anacheka na nyavu za goli leo vipi au alikuwa anacheka na nyavu za wavuvi?

Mdaka mishale je?
Ushabiki umewafanya watu mmekiwa mabumunda kisenge
 
Back
Top Bottom